Huyo cheupe dawa kushoto kwa Diamond ni nani?
Habari yako haina mashiko.
swissme;
Kwa nini awe role model?
Si wanasema msanii ni kioo cha jamii!
Of course I know, that I'm a role model
But yo this rap life is real life sometimes it's full throttle
Right now I gotta think about me *** the industry
You gets no love, except those who support me
What's the story, what happened when I went to L.A.?
Mixin shit up, no not there I got family
Nothin happened, mind your business yo step
You know we connect, JFK 2 LAX
Nani anasema hivyo? Kwa kanuni gani?
Na kama jamaii yetu inaruhusu ufuska kiasi cha wabunge kama kina John Komba kufanya ufedhuli na watoto wadogo kina Lulu, huyu Domo akiakisi mwanga wa jamii hii na kuwa role model wa ufuska na umaaluni utamlaumu vipi?
Kwani wabunge ni wasanii? sijawahi kusikia kuwa mbunge ni kioo cha jamii.
Kuweni role models kwa wanenu na ndugu zenu.
Msitwishe wengine majukumu yenu.