Yanini kisha uyapeleke wapi? anyway kwa msaada tu fika ofisini kwake pale sinza uliza swali hilo kwa mtu anaitwa Mwarabu au (commando kipensi) yule ni muungwana sana na bila shaka atakupa majibu unayo stahili,utuletee na sisi tuna kiu ya kujua matokeo.