Itakuwa mawazo yako ndio yamekuathiri, yapotezee na jiambie moyoni kuwa upo salama. Kwa uhakika zaidi kafanye vipimo.Nakomaakomaa kwanza nione mwisho wake... hapa najoskia uchovu na kizunguzungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sawa aelekee mnadanikunywa maji mengi, kama una wasiwasi meza ampiclox na zile dawa za maji za kikohozi au paracetamol, usikimbilie kwanza hospitali usije kuambukiza watu wengine...
Juzi kama sio jana nilivyomaliza kula nilihisi kichefuchefu sema nikawahi na sprite fastaa ikakata
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamezinunua sana kwataarifa yako last 2 weeks, jamaa alinunua za milioni mojamchina anakuja kununa mask ili haitume China ha ha ha ha ha ha ha ha ha Acha comedy kaka
labda niwe sijakuelewa
Duuh nilikuwa nataka nifahamu vizuri Ila umenipa wasiwasi na jinsia yako baada ya wewe kutumia nenoWamezinunua sana kwataarifa yako last 2 weeks, jamaa alinunua za milioni moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifua kinakuwa kizito lakini sipati kikohozi
Najihisi nina mafua soft...
Damu inachemka kwa mbaali haswa wakati wa mchana
Uchovu
Kama siku 10 nyuma nilikaribiana na Mchina kwenye duka fulani la dawa alikuwa akinunua mask ili atume kwao.
Kama utakuwa ndo wenyewe itakuwa poa tu. Bora nife tu maana humu Duniani hamna fàraja bora nikapunzike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Juzi kama sio jana nilivyomaliza kula nilihisi kichefuchefu sema nikawahi na sprite fastaa ikakata
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh nilikuwa nataka nifahamu vizuri Ila umenipa wasiwasi na jinsia yako baada ya wewe kutumia neno
"KWA TAARIFA YAKO"
wanaume tuenda wapi jamani haya mambo ya kina mama
Itakuwa una mimba
Ni kama vile kufanya mapenzi na mtu umemuokota huko peku peku kesho yake lazima uanze kuona dalili zote za ngoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wote wanaugua corona hufa,asilimia 70 hupona na kuendelea na maishaKifua kinakuwa kizito lakini sipati kikohozi
Najihisi nina mafua soft...
Damu inachemka kwa mbaali haswa wakati wa mchana
Uchovu
Kama siku 10 nyuma nilikaribiana na Mchina kwenye duka fulani la dawa alikuwa akinunua mask ili atume kwao.
Kama utakuwa ndo wenyewe itakuwa poa tu. Bora nife tu maana humu Duniani hamna fàraja bora nikapunzike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wote wanaugua corona hufa,asilimia 70 hupona na kuendelea na maisha