G giraffe JF-Expert Member Jun 6, 2010 608 196 Apr 2, 2012 #21 tuimalishe redbrigade kitengo muhimu sana.
everybody JF-Expert Member Oct 30, 2010 337 103 Apr 2, 2012 Thread starter #22 Wazo la kufanyia kazi uhamasishaji wa watu wa vijijini kuitambua CHADEMA na ubovu wa utendaji wa CCM ni la msingi. Pia kuhamasisha watu wapige kura, hasa vijana ni muhimu pia
Wazo la kufanyia kazi uhamasishaji wa watu wa vijijini kuitambua CHADEMA na ubovu wa utendaji wa CCM ni la msingi. Pia kuhamasisha watu wapige kura, hasa vijana ni muhimu pia