Je, CHADEMA kuna uwezekano wa no confidence vote dhidi ya Mbowe?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Yaani kwa maana nyingine Wanachama wanawezaje kumuondoa Mbowe kama hawamtaki? Kuna namna yoyote ile kulingana na Katiba ya chadema?

*Sijaleta hii Mada kulinganisha CCM na chadema, bali inahusu chadema, hivyo sitegemei kuulizwa kuhusu CCM!
 
Yaani kwa maana nyingine Wanachama wanawezaje kumuondoa Mbowe kama hawamtaki? Kuna namna yoyote ile kulingana na Katiba ya chadema?

*Sijaleta hii Mada kulinganisha CCM na chadema, bali inahusu chadema, hivyo sitegemei kuulizwa kuhusu CCM!

Tuna uwezo wa kupiga kura of No confidence kwa JPM.Mbowe he is there to stay.
 
Mbowe is here to stay
Zaidizaidi akitaka kuacha vijana nadhani hata wale wasio cdm wanaweza kutembea kwa miguu hadi kwake kumuomba na kumsihi aendelee.
 
Misukule hatujajaliwa Uwezo huo.
17-real-life-ghost-stories-thatll-freak-you-the-f-2-8122-1461174966-17_dblbig.jpg
 
Mbowe is here to stay
Zaidizaidi akitaka kuacha vijana nadhani hata wale wasio cdm wanaweza kutembea kwa miguu hadi kwake kumuomba na kumsihi aendelee.


Hilo halikuwa swali langu, swali ni kwamba Je, kuna namna gani Kikatiba ya kumuondoa Mwenyekiti wa chadema?
 
Ndo maana tunapigwa kila siku na makanikia yanapita na dhahabu kibao bandarini kwa ajili ya mazuzu kama mleta uzi..
 
Unafanyika lini huo Mkutano, yaani kila baada ya muda gani?
6.3.2 Muda wa Uongozi (a) Kila uongozi uliochaguliwa au kuteuliwa wakati wa uchaguzi mkuu wa Chama utashika wadhifa wake kwa kipindi cha miaka mitano
 
Machadema bangi inawadhuru, swali jingine, jibu linatoka ma.k.a.l.i.on , ovyo kabisa.

Pole nimekusamwhe kwa maana UVCCM ndiyo tabia yenu ya kufikiri kutumia masaburi.

Viroba wanakunywa wanao vijua,mie najua viroba ni vile vinavyobebea mahindi au maharage.

Na wanywa hivyo viroba wanaamaamuzi kama ya Serikali ya CCM chini ya Mkapa na JK.pole huo ndiyo Ukweli
 
Back
Top Bottom