Je ccm ni bora kuliko chadema?

Je ccm ni bora kuliko chadema?

sijison

Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
11
Reaction score
1
kulingana na nahali ilivyo katika nchi yetu uonevu ulivyo zagaa kila kona yanchi jewatanzania tufanye nini kukomesha uonevu huu makanisa yaliyo chomwa moto yamefikia 61 padre mmoja ameuwawa padre mwingine akajeruhiwa kwa resasi mchungaji akachinjwa hadharani wana nchi wasio nahatia kuuwawa namabomukila uitwao leo je?hii nchi 2015 tukipe chama gani?
 
kulingana na nahali ilivyo katika nchi yetu uonevu ulivyo zagaa kila kona yanchi jewatanzania tufanye nini kukomesha uonevu huu makanisa yaliyo chomwa moto yamefikia 61 padre mmoja ameuwawa padre mwingine akajeruhiwa kwa resasi mchungaji akachinjwa hadharani wana nchi wasio nahatia kuuwawa namabomukila uitwao leo je?hii nchi 2015 tukipe chama gani?
Unauliza unachokijua au unauliza ukitaka kujua jambo ambalo hulijui.
 
Back
Top Bottom