Usiulize papa wa Rome ni mkatoliki. Mara zote CCM ni bora kuliko Chadomo. Chadema hawana mikakati ya muda mrefu walidhani mikakati ya muda mfupi matusi, kupandikiza chuki na udini vingewaletea umaarufu. Sasa imekula kwao.naombeni views zenu wadau wa jf kwan hali ya siasa siielewi mara huyu katupa boom wengi ccm mara chadema....