Pia ukumbuke JK anatumia 'Iddi Amin Economic Theory' akiamini kuwa 'all the resources in the country are for CCM and that budget concerns are only when it comes to free education. CCM can spend as extravagantly as satanically possible and no constraints at all'.
Matumizi yanayokubalika kwa CCM na ambayo hayaathiri bajeti kwa mtazamo wa CCM ni
1) rushwa kubwakubwa na ndogo ndogo, tshirts, pilau, khanga, usafiri wa fuso, d/coaster kwenda mikutanoni, elfu kumi nyumba kwa nyumba, vibali hewa vya biashara, kulindiwa unga usimwagwe(kazi), ukuu wa wilaya( Nape Nnauye), viti maalum, kofia ishirini za uongozi....n.k naweza jaza kurasa bilioni. YOTE ILI MURADI TU CCM ISHINDE.
2) mafunzo ya kijeshi yasiyo ya lazima; mfano kuliandaa jeshi JWTZ kupambana na wapiga kura badala ya kulinda mipaka, kununua vifaru na ndege za kivita ili vitumike manzese, mwanjelwa, kirumba, tambuka reli, mianzini, soweto, kariakoo, igogo, hamugembe na kwingineko ambako wananchi hawadanganyiki.
3) Rais kusafiri na ujumbe wa watu 100 kwenye mikutano ambapo nchi kubwa marais wao wanakwenda na ujumbe wa watu 6,
Serikali ya CCM ina uwezo wa kutoa rushwa Afrika nzima, lakini bajeti yao haitoshi kusomesha hata mtoto mmoja wa masikini bure, na watetezi wao humu wanadai watoto wa maskini wamejitakia kuwa hivyo kwa kuwa wamebweteka wanasubiri kusaidiwa. Kweli CCM ni Chama Cha Mashetani.