Je,bado kuna nafasi open university

Je,bado kuna nafasi open university

Kwayeyote anayejua kama bado kuna muda na nafasi ya kuomba open anisaidie

Chuo Chenyewe Kinaitwa OPEN Sasa Una Wasiwasi Gani Mkuu? Hao Wako OPEN Hata Mpaka Siku Ya KIAMA IKIJA, Hivyo Nenda Ukasome.
 
Nenda pale chuo Onana Na Mwl OMBENI atakusaidia Sana kama unaqualify why wiki Hii Ndio intake imefunguliwa
 
Back
Top Bottom