jafari irigo
Member
- Jan 9, 2013
- 16
- 0
jaman ndugu zanguni mimi ndo mara ya kwanza kuomba ushauri wangu katika jukwaa hili.
Nilikua naomba mnisaidie kwa hili ninampenzi wangu na ninampenda na yeye anadai eti ananipenda lakini hata miezi 10 inaweza ikapita bilahata kufanya mapenzi na yeye. Na nikimgusia tu kuhusu jambo hilo anagoma kabisa etianadai anapo kaa na mimitu anaridhika.
Jaman hivi ananipenda au ndo kunizingua.
Naombo mnishauri waungwana.
Nilikua naomba mnisaidie kwa hili ninampenzi wangu na ninampenda na yeye anadai eti ananipenda lakini hata miezi 10 inaweza ikapita bilahata kufanya mapenzi na yeye. Na nikimgusia tu kuhusu jambo hilo anagoma kabisa etianadai anapo kaa na mimitu anaridhika.
Jaman hivi ananipenda au ndo kunizingua.
Naombo mnishauri waungwana.