Tatizo la Simba SC ni wanachama kama wapo, wameamua kuwa na uongozi amabao hauko makiniToka awe msemaji wa simba hamna kikombe walichowahi kubeba ji ni ngundu?
HakuwepoKwani kombe alilobeba benchika ahmed ally hakwepo?
KUna ngao ya jamii moja amewahi ibeba,,Simba waliwafunga yanga kwa penati kule Tanga.Toka awe msemaji wa simba hamna kikombe walichowahi kubeba ji ni ngundu?
Refa alikuwa Tatu Malogo. Vibendera, Amina kyando na KEFA KAYOMBO. Refa alikataa goli halali la YangaKUna ngao ya jamii moja amewahi ibeba,,Simba waliwafunga yanga kwa penati kule Tanga.