Awamu ya nne ipo kwa idadi iliyo baki maana kuna wale wa multiple admission ambao walifanya usajili vyuoni mwisho ilikuwa ni jana tarehe 2 so majina hayajafika heslb
Awamu ya nne ipo kwa idadi iliyo baki maana kuna wale wa multiple admission ambao walifanya usajili vyuoni mwisho ilikuwa ni jana tarehe 2 so majina hayajafika heslb
Ni kweli inaelekea round 3 ilitoka kabla majina mengine hayajafika HESLB kuonyesha kijana amechaguliwa wapi. Sasa sijui kamahiyo italeta round 4 au ndo anaetaka aingie kwenye kapu la appeal.