username47
New Member
- Apr 20, 2017
- 4
- 2
Ni pale ambako unakua unapanic na kufanya rough decisions.. JB hajatumia busara kabisa,kwanza yeye ni kioo cha jamii alafu bado anakua mchochezi wa mambo ya kibashite..ivi kweli kabisa anadiriki kusema hamjui nay wala hackilizi bongo movies..alafu bizeeeee eti nackiliza country music..ivi alikua anajisikia kweli anachoongea
Ndomana hawafanyi kazi zenye ubora..fitna zimezidi..wanasahau kazi zao..WANAKERA KWELI!! KUTWA KUJIFANYA AKILI NYINGI KUMBE BASHITE MWINGINE TU..(MSONYOOOO WA HARMORAPA)
Ndomana hawafanyi kazi zenye ubora..fitna zimezidi..wanasahau kazi zao..WANAKERA KWELI!! KUTWA KUJIFANYA AKILI NYINGI KUMBE BASHITE MWINGINE TU..(MSONYOOOO WA HARMORAPA)