Uyo ni mmoja kati ya Punda wa madawa ya kulevya aliyefanikiwa kupeleka mzigo south afrika na kujipatia senti kadhaa za kubadili mboga na kumlipia ada mdogo wake.
Ni mmoja kati ya wasanii waliomu-inspire magwea kujaribu kazi hii ya upunda wa madawa ya kulevya, hamadi mauti yakamfika.
tena dunia nzima jamaa hana mpinzani jay z,rick ross,diddy,na wengneo wote hawatii mguu kwa huyu Juma Mohammed Mchopanga
kwani hao wanaflow kwa lugha 1 wakati mo tech anaflow kwa lugha tatu kiswahili,kingereza na kimakonde
tena dunia nzima jamaa hana mpinzani jay z,rick ross,diddy,na wengneo wote hawatii mguu kwa huyu Juma Mohammed Mchopanga
kwani hao wanaflow kwa lugha 1 wakati mo tech anaflow kwa lugha tatu kiswahili,kingereza na kimakonde
Uyo ni mmoja kati ya Punda wa madawa ya kulevya aliyefanikiwa kupeleka mzigo south afrika na kujipatia senti kadhaa za kubadili mboga na kumlipia ada mdogo wake.
Ni mmoja kati ya wasanii waliomu-inspire magwea kujaribu kazi hii ya upunda wa madawa ya kulevya, hamadi mauti yakamfika.