Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,365
- 7,606
Mwaka 2010/2011 nilikutana na Kuachana na Jasmin katika mazingira magumu Sana. Huyu alikuwa na Kaka yake aitwae Ali aliyekuwa akiuza Nywele za Sangita kwenye maduka Tabata na Buguruni. Alikuwa na tatizo la Moyo
May be she Is Alive.
Mwaka 2011 nilikutana na Joyce Mringi na pia niliachana naye katika mazingira magumu. Misunderstanding to name it. Amesoma Weruweru na Marangu TTC. Alikuwa na tatizo la Athma/Pumu.
May be she is alive!
Ee Mwenyenzi Mungu nafunga jalada la kuwatafuta mabinti hawa. Unisaidie nisiumie nikiwakumbuka.
May be she Is Alive.
Mwaka 2011 nilikutana na Joyce Mringi na pia niliachana naye katika mazingira magumu. Misunderstanding to name it. Amesoma Weruweru na Marangu TTC. Alikuwa na tatizo la Athma/Pumu.
May be she is alive!
Ee Mwenyenzi Mungu nafunga jalada la kuwatafuta mabinti hawa. Unisaidie nisiumie nikiwakumbuka.