Abdull Kazi
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 322
- 255
Srinagar
Mwanamke nyota wa Kriketi kutoka Jammiu na Kashmir Jasia Akhtar, anaenda kuchezea Klabu ya Mohammedan Sporting katika Ligi ya Kriketi ya Wanawake ya Duniani daraja la kwanza ya Dhaka nchini Bangladesh.
Jasia, ambaye kwa sasa ni nahodha wa timu ya watu wazima ya wanawake ya Rajasthan, amecheza katika IPL ya Wanawake na mara kadhaa alikaribia kuichezea timu ya Taifa.
Mzaliwa wa Shopian, Jasia alichagua kucheza nje ya J&K na amekuwa mchezaji wa kriketi wa wanawake wa Kashmiri mwenye mafanikio zaidi.
Katika Ligi ya Dhaka, jumla ya timu 11 zitashiriki. Tukio hilo lilianza Mei 18. Jasia pia amekuwa sehemu ya mashindano hayo ikiwa ni mara yake ya pili kuwa nchini Bangladesh
Parvez Rasool,ndiye mchezaji pekee wa kriketi wa J&K katika siku za hivi karibuni aliyecheza mashindano mengi ya kriketi ya kimataifa,akiwa ndiye mchezaji anayetegemewa kwenye mashindanoi hayo kwa upande wa wanaume.
Makala hii imetafsiriwa kutoka katika gazeti la la Great Kashmir
Mwanamke nyota wa Kriketi kutoka Jammiu na Kashmir Jasia Akhtar, anaenda kuchezea Klabu ya Mohammedan Sporting katika Ligi ya Kriketi ya Wanawake ya Duniani daraja la kwanza ya Dhaka nchini Bangladesh.
Jasia, ambaye kwa sasa ni nahodha wa timu ya watu wazima ya wanawake ya Rajasthan, amecheza katika IPL ya Wanawake na mara kadhaa alikaribia kuichezea timu ya Taifa.
Mzaliwa wa Shopian, Jasia alichagua kucheza nje ya J&K na amekuwa mchezaji wa kriketi wa wanawake wa Kashmiri mwenye mafanikio zaidi.
Katika Ligi ya Dhaka, jumla ya timu 11 zitashiriki. Tukio hilo lilianza Mei 18. Jasia pia amekuwa sehemu ya mashindano hayo ikiwa ni mara yake ya pili kuwa nchini Bangladesh
Parvez Rasool,ndiye mchezaji pekee wa kriketi wa J&K katika siku za hivi karibuni aliyecheza mashindano mengi ya kriketi ya kimataifa,akiwa ndiye mchezaji anayetegemewa kwenye mashindanoi hayo kwa upande wa wanaume.
Makala hii imetafsiriwa kutoka katika gazeti la la Great Kashmir