January Makamba

January Makamba

Mwanafikra huru

Senior Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
141
Reaction score
18
Habari ndugu
Unadhni ni kijana gani anaye fanya vizuri na ambaye awe mfano wa kuigwa kwa vijana wenzake kwa siasa za Tanzania kwa sasa,kwa sababu zako unazo zijua wewe?
Mimi nimemchagua January Makamba
sababu ni smart brain na yuko focused katika anacho kifanya katika uwanja wa siasa na sio mropokaji
 
Habari ndugu
Unadhni ni kijana gani anaye fanya vizuri na ambaye awe mfano wa kuigwa kwa vijana wenzake kwa siasa za Tanzania kwa sasa,kwa sababu zako unazo zijua wewe?
Mimi nimemchagua January Makamba
sababu ni smart brain na yuko focused katika anacho kifanya katika uwanja wa siasa na sio mropokaji
chagueni kwa sababu zenu pia
 
Habari ndugu
Unadhni ni kijana gani anaye fanya vizuri na ambaye awe mfano wa kuigwa kwa vijana wenzake kwa siasa za Tanzania kwa sasa,kwa sababu zako unazo zijua wewe?
Mimi nimemchagua January Makamba
sababu ni smart brain na yuko focused katika anacho kifanya katika uwanja wa siasa na sio mropokaji

Politicians will do anything to be elected .Name one politician ambaye amesaidia mtu duniani .Politicians are narcisstic will lie to get elected and they love power .Trust me usiniwekee jina la mwanasiasa.Kila kijiji kina mbunge wajumbe lakini watu Hawana umeme wala maji watu wanatembea masaa 6 kwenda clinic Huko clinic hakuna dawa wala nini .maji ya mfereji Kama hamna ya mlimani .Mbunge mwenye kuleta maji umeme madawa ni nani nitajie .Labda Msuya .Its very sad very sad ukiwa Kwenye society insyotegemea Serikali .
 
Zitto Zuberi Kabwe, anatosha kwa sifa lukuki.

Ameleta umeme ,maji,madawa kijijini kwake?.pesa za jimbo lake zipo wapi ?mchague walioleta umeme,maji ,dawa na shule .Acheni mbwembwe Za bungeni na kelele hapa
 

Nimeipenda hii. Mleta mada angejiuliza kwanza yeye ni kijana?

Anadhani kwa nafasi aliyonayo kwenye jamii anafanya vizuri?

Brain yake ni smart na yuko focused katika anachokifanya katika fani yake?

Tuache kutegemea watu wengine kujiletea meandeleo.

Kila mtu ana wajibu wake kulingana na nafasi yake kwenye jamii.

Afanye part yake, others will do theirs.

Kama brain yake siyo smart kama ya Makamba, basi afanye mpango wa kuimarisha ubongo wake uliodumaa.
 
Nimeipenda hii. Mleta mada angejiuliza kwanza yeye ni kijana?

Anadhani kwa nafasi aliyonayo kwenye jamii anafanya vizuri?

Brain yake ni smart na yuko focused katika anachokifanya katika fani yake?

Tuache kutegemea watu wengine kujiletea meandeleo.

Kila mtu ana wajibu wake kulingana na nafasi yake kwenye jamii.

Afanye part yake, others will do theirs.

Kama brain yake siyo smart kama ya Makamba, basi afanye mpango wa kuimarisha ubongo wake uliodumaa.

kumbe hata watu wazima wana wivu wa kijinga hivi? Fanya kaazi jamii ikutambue huitaji kujitangaza watakutangaza ViVa January Makamba
 
kumbe hata watu wazima wana wivu wa kijinga hivi? Fanya kaazi jamii ikutambue huitaji kujitangaza watakutangaza ViVa January Makamba

Kwa nini niwe na wivu na Makamba?

Unadhani wote wanaofanya kazi wanatambulika na jamii?

If so wewe si ungekuwa unatambulika na kujisifia mwenyewe badala ya kusifia wengine (if una hiyo smart brain at all)?

Wewe unamjua na kumtambua alitengeneza Java unayoitumia kwenye kopyuta yako kila siku (if you know Java anyway)?

Kila mtu apige kazi kwa kutumia nafasi aliyonayo kwenye jamii yake.

Siyo kukaa hapo unapigia gumzo bidii za watu wengine wakati huna mchango wowote kwenye jamii.

Play your part, others will do theirs. It is only by playing your part (rather than kutegemea wengine) that we will reach our destination.
 
kweli ukipenda huoni chongo, kuna vichwa viko CDM, chezea MYIKA wewe aliwahi pata A saba, huyo Makamba elimu ya kuunga unga alipao sifuri A-level,
Habari ndugu
Unadhni ni kijana gani anaye fanya vizuri na ambaye awe mfano wa kuigwa kwa vijana wenzake kwa siasa za Tanzania kwa sasa,kwa sababu zako unazo zijua wewe?
Mimi nimemchagua January Makamba
sababu ni smart brain na yuko focused katika anacho kifanya katika uwanja wa siasa na sio mropokaji
 
Kwa nini niwe na wivu na Makamba?

Unadhani wote wanaofanya kazi wanatambulika na jamii?

If so wewe si ungekuwa unatambulika na kujisifia mwenyewe badala ya kusifia wengine (if una hiyo smart brain at all)?

Wewe unamjua na kumtambua alitengeneza Java unayoitumia kwenye kopyuta yako kila siku (if you know Java anyway)?

Kila mtu apige kazi kwa kutumia nafasi aliyonayo kwenye jamii yake.

Siyo kukaa hapo unapigia gumzo bidii za watu wengine wakati huna mchango wowote kwenye jamii.

Play your part, others will do theirs. It is only by playing your part (rather than kutegemea wengine) that we will reach our destination.

mkuu povu lote la nini hili?

Leo tukimzungmzia Bill Gate haimanisha hatuna kazi ya kufanya,au Jk Nyerere kwa umahili wake katika siasa ,Mtu sifa yake mpe na kama wewe huna fight kuwa nayo au kuwa kama yeye

Na hiyo ndo taswari ya vijana kujifunza kwa wale walio watangaulia
)( punguza wivu
 
mkuu povu lote la nini hili?

Leo tukimzungmzia Bill Gate haimanisha hatuna kazi ya kufanya,au Jk Nyerere kwa umahili wake katika siasa ,Mtu sifa yake mpe na kama wewe huna fight kuwa nayo au kuwa kama yeye

Na hiyo ndo taswari ya vijana kujifunza kwa wale walio watangaulia
)( punguza wivu

I am not that dumb kujadili watu.
 
Nimeipenda hii. Mleta mada angejiuliza kwanza yeye ni kijana?

Anadhani kwa nafasi aliyonayo kwenye jamii anafanya vizuri?

Brain yake ni smart na yuko focused katika anachokifanya katika fani yake?

Tuache kutegemea watu wengine kujiletea meandeleo.

Kila mtu ana wajibu wake kulingana na nafasi yake kwenye jamii.

Afanye part yake, others will do theirs.

Kama brain yake siyo smart kama ya Makamba, basi afanye mpango wa kuimarisha ubongo wake uliodumaa.

Notion nzima ya "role model" inapitwa na wakati. The world is moving towards more personal responsibility/ bottom-up approaches with more focus on grassroots efforts and less hagiographical awe.

Hata Papa mpya kabla ya kuwabariki watu aliomba watu wambariki.

Now when you see the Vatican, one of the most consevative bodies on the planet, do that, however superficial, you have to read the signs of the time.

I would be keener on which idea/movement/trend to emulate.

Not a person.
 
Kwa nini niwe na wivu na Makamba?

Unadhani wote wanaofanya kazi wanatambulika na jamii?

If so wewe si ungekuwa unatambulika na kujisifia mwenyewe badala ya kusifia wengine (if una hiyo smart brain at all)?

Wewe unamjua na kumtambua alitengeneza Java unayoitumia kwenye kopyuta yako kila siku (if you know Java anyway)?

Kila mtu apige kazi kwa kutumia nafasi aliyonayo kwenye jamii yake.

Siyo kukaa hapo unapigia gumzo bidii za watu wengine wakati huna mchango wowote kwenye jamii.

Play your part, others will do theirs. It is only by playing your part (rather than kutegemea wengine) that we will reach our destination.

I was listening to the Beeb over the weekend. One of their weekly business fora. Topic ilikuwa leadership. Nafikiri kitakuwa katika rerun schedule hata sasa.

Jamaa mmoja panelist, mover and shaker wa kujimix na "The Davos Crowd", ma world leaders na global enterpreneurs anahojiwa akaulizwa mtu gani ana mu admire kwa leadership skills?

Nikafikiri atataja CEO wa Forbes 500 au kiongozi wa social movement inayojulikana sana.

Jamaa akamtaja mwalimu mmoja mwanamke kutoka Uganda vijijini huko, alikuwa impressed na jinsi huyu mwalimu alivyoweza kuji-organize with her meagre resources and in abject poverty kiasi cha kuwa na system nzuri tu ya kufundisha na kuepuka total collapse.

Akamtaja kwa jina, huyo ndiye mtu anayemu admire kati ya watu wote kwa uongozi. Huyu ni mtu ambaye kashakutana na world leaders kibao na ma jet set enterpreneurs wasio na idadi.

Nikaona duh, kibongobongo lazima mtu utaje a household name hapo!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Notion nzima ya "role model" inapitwa na wakati. The world is moving towards more personal responsibility/ bottom-up approaches with more focus on grassroots efforts and less hagiographical awe.

Hata Papa mpya kabla ya kuwabariki watu aliomba watu wambariki.

Now when you see the Vatican, one of the most consevative bodies on the planet, do that, however superficial, you have to read the signs of the time.

I would be keener on which idea/movement/trend to emulate.

Not a person.

Unaposema ana brain smart una maana gani? Maana kuna vichwa ambavyo pengine visingezaliwa sijui dunia hii ingekuwaje for instance Michael Faraday,SIR ISSACK NEWTON, Nelson Mandela na wengine wengiiii! Sasa huyu kijana ana lipi jipya zaidi ya kusugua kucha barber shop? Acha hizo bro!
 
Notion nzima ya "role model" inapitwa na wakati. The world is moving towards more personal responsibility/ bottom-up approaches with more focus on grassroots efforts and less hagiographical awe.

Hata Papa mpya kabla ya kuwabariki watu aliomba watu wambariki.

Now when you see the Vatican, one of the most consevative bodies on the planet, do that, however superficial, you have to read the signs of the time.

I would be keener on which idea/movement/trend to emulate.

Not a person.

Tatizo ambalo naliona ni kwamba watu hawatilii mkazo majukumu yao.

Sasa inapotokea mtu anatilia mkazo majukumu yake anaonekana ni exceptional na role model kwenye jamii wakati anatimiza wajibu wake kwa nafasi aliyonayo kwenye jamii.

Nita circumvent point ya JF Kennedy na kusema kuwa kabla ya kuuliza Kiranga ameifanyia nini nchi yake itabidi nijiulize kwanza mimi nimeifanyia nini nchi hii.

Otherwise, I don't see the the relevance of discussing a person.

As Eleanor Roosevelt once said "Great minds discuss ideas. Average minds discuss events. Small minds discuss people."
 
Last edited by a moderator:
Unaposema ana brain smart una maana gani? Maana kuna vichwa ambavyo pengine visingezaliwa sijui dunia hii ingekuwaje for instance Michael Faraday,SIR ISSACK NEWTON, Nelson Mandela na wengine wengiiii! Sasa huyu kijana ana lipi jipya zaidi ya kusugua kucha barber shop? Acha hizo bro!

Nafikiri umeninukuu kimakosa na ulikusudia kumnukuu mwingine.

Kwanza mimi siwezi kusema "ana brain smart" kwa sababu that statement is wrong on so many levels, linguistically, logically etc.

And if you know anything about me you should know that hagiography is not my forte.

Hata mungu simfagilii, itakuwa Makamba?

Kabla ya ku quote na kuanza kuandika kwa haraka hakikisha unaye mquote ndiye uliyemkusudia.

Wewe unapoamkia kwa Isaac Newton wengine wamelalia kwa Leibniz.
 
Tatizo ambalo naliona ni kwamba watu hawatilii mkazo majukumu yao.

Sasa inapotokea mtu anatilia mkazo majukumu yake anaonekana ni exceptional na role model kwenye jamii wakati anatimiza wajibu wake kwa nafasi aliyonayo kwenye jamii.

Nita circumvent point ya JF Kennedy na kusema kuwa kabla ya kuuliza Kiranga ameifanyia nini nchi yake itabidi nijiulize kwanza mimi nimeifanyia nini nchi hii.

Otherwise, I don't see the the relevance of discussing a person.

As Eleanor Roosevelt once said "Great minds discuss ideas. Average minds discuss events. Small minds discuss people."

George Orwell said "In a time of universal deceit - telling the truth is a revolutionary act.". I will paraphrase that general idea by stretching in context here, equally, in a time of universal mediocrity, doing your job is a revolutionary act.

Utashangaa mtu anapewa sifa kwa sababu tu "yule si mla rushwa".

Eboo, kutokula rushwa ndio tunavyotakiwa kuwa wote.Ukiwa huli rushwa ndo unafanya the bare minimum ya unayotakiwa kufanya, sasa hiyo inakuwa sifa kivipi? Kwa sababu watu wanaridhika na mediocrity?

Yani tumeshusha expectations kiasi kwamba sasa tutakachohitaji ni mtu kuwa na heartbeat tu na good connections.

Na hapo hata hatujaingia kwenye ideas bado, tunazungumzia watu tu.
 
Back
Top Bottom