Mwanafikra huru
Senior Member
- Jan 17, 2013
- 141
- 18
Habari ndugu
Unadhni ni kijana gani anaye fanya vizuri na ambaye awe mfano wa kuigwa kwa vijana wenzake kwa siasa za Tanzania kwa sasa,kwa sababu zako unazo zijua wewe?
Mimi nimemchagua January Makamba
sababu ni smart brain na yuko focused katika anacho kifanya katika uwanja wa siasa na sio mropokaji
Unadhni ni kijana gani anaye fanya vizuri na ambaye awe mfano wa kuigwa kwa vijana wenzake kwa siasa za Tanzania kwa sasa,kwa sababu zako unazo zijua wewe?
Mimi nimemchagua January Makamba
sababu ni smart brain na yuko focused katika anacho kifanya katika uwanja wa siasa na sio mropokaji