January Makamba yupo nyuma ya MB 8
Ni mpango ulio sukwa nginganginga ili kuwafungia vijana (wanafunzi wa secondary na vyuo) kufanya mawasiliano ya kupashana na kubadirishana mawazo juu ya mstakabali wa nchi yetu na uchaguzi mkuu. Lengo ni kuwafanya vijana hawa washindwe kumudu gharama za kuwa "online". Wengi wa vijana hawa mwaka huu itakua ni mara ya kwanza kupiga kura. Ni vijana walio zaliwa miaka ya 1993, 1994, 1995 na 1996 na 1997 ambao wanaitwa dot.com generation na ni tishio kwa chama tawala.
Ikumbukwe; Makamba Jr. alikuwepo kwenye mchezo wa kushinikiza Bunge lisionyeshwe "LIVE" ili kuwanyima waTanzania uhuru wa kupata habari; tena kupitia television ya Taifa.
Makamba anatumia wadhifa wake kukandamiza uhuru wa vijana wenye vipato vya chini kupata habari.