Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.
Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.
Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.
Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.
Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.
Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.
Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.
Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Mada Bichwa komwe, na mletewa mada vime balance .Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.
Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.
Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.
Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.
Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.
Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.
Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.
Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Mada Bichwa komwe, na mletewa mada vime balance .Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.
Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.
Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.
Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.
Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.
Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.
Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.
Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.
Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.
Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.
Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.
Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.
Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.
Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.
Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Hakuna kitu pale. Unalikosea heshima hilo jina la "Obama"Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.
Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.
Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.
Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.
Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.
Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.
Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.
Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Aisee! Unalinganisha Obama na vitu vya ajabu? Makamba ni mpuuzi sana. Visambaa vya hovyo Sana!Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.
Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.
Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.
Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.
Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.
Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.
Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.
Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Kwamba naye ni nusu mtu nusu pepo kama OB.Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.
Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.
Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.
Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.
Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.
Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.
Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.
Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Unatenga penalty mpigaji mwenyewe kipa mwenyeweTanzanian Obama.View attachment 2323175
Maake hapo kwanza nchekeSijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.
Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.
Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.
Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.
Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.
Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.
Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.
Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Mmh! Sidhani kama anafanana na Obama. Obama alikuwa na speech za mvuto. Akiongea wasikilizaji wanakuwa captivated. Pia alikuwa anapendwa sana na makundi yote. Sasa sijui kama huyu January ana traits hizo zaidi ya kuzilazimisha kwa kukunja mashati tu!!!Sijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.
Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.
Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.
Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.
Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.
Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.
Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.
Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174
Naunga mkono hojaSijui mmegundua? Huyu jamaa ana mikogo na miondoko kama ya Barrack Obama.
Ukiachana na ile "nadharia" kwamba yeye mwenyewe mara zote hudhani ana sifa za kuwa Rais, nimebaini pia hata mwonekano wake ni wa ki-obama obama.
Zile tambo zake za kuongea kwa nukta na madoido pamoja na aina ya uvaaji wake, kwa hakika huyu ndiye.
Siku hizi naona anakunja mashati kama Obama.
Nimepekua mafaili yake, inasemekana alipokuwa High School (Galanos) alipata dosari ya kitaaluma kutokana na uvujifu wa mitihani na udanganyifu.
Kwa hilo, nafikiri hiyo ndiyo tofauti pekee aliyonayo dhidi ya Obama. —Obama ni msomi, wakati January ndio vile tena tia maji tia maji.
Mengine yote nafikiri wanafanana sana na Obama. Hasa ule ukunjaji wa mashati unanikoga sana.
Tumpe huyu. Ni Obama wetu wa kitanzania.
View attachment 2323174