January Makamba anafaa kusimamia TAMISEMI?

Hatutaki vizazi vya laana za wana mtandao humu.

Kwendeni zenu huko,mliyotufanyia mkishirikiana na baba zenu yalitosha na sasa kaeni mle mlichokusanya.

Wapambe nuksi nendeni mpewe mafungu lakini sisi wapiga kura

#tunasimama na JPM 2025 [emoji1241]
 
Jaffo kapaweza hakuna mwingine, Makamba labda mambo nje atatufaa sana
 
Makamba Jr ni mmoja wa wanasiasa bora vijana tatizo yupo kwenye lichama lenye mfumo wa kishetani
 
Huyu jamaa anafaa kuwa Raisi,Waziri mkuu,au Waziri wa Tamisemi,Waziri wa fedha,Nishati na madini.
Ingekuwa amri yangu,Huyu jamaa angechukua Uraisi wa Jamhuri ya Muungano,2020,waziri mkuu awe,Suleiman Jafo,Waziri Ardhi awe Lukuvi,wa fedha awe Prof Assad,ulinzi Mwinyi,Katiba na Sheria Zito Kabwe,Madini,Biteko
 
Huo upole wake wa sasa ni kwa sababu he aint one of the chosen few like he used to.

Anajua kula na vipofu lakini ni janga tu huyo,mwenzie Nape kageuka mwanafalsafa round hii na ni baada ya kutemwa coz before that he was such an .. akishiriki kwenye kuzima bunge live na upuuzi mwingine kibao.
 
Watasema tunafahamiana na unampigia debe. Sijui tatizo letu ni lipi aisee
 
January hapana ni janga. jafo yuko vizuri
Unajua TAMISEMI imejaa hizi siasa za hapa na pale. Kwa hiyo ni vema uwe mzalishaji-kwenye WATU, ARDHI, SIASA SAFI na kwa hakika UONGOZI BORA. Huyu Ndugu ni fundi kwa namna ninavyomtafsiri mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…