January 1/1/2014 umeme bei juu mpo?

Naomba kuuliza...baada ya gesi kufika kwa wingi DSM na kwenye mitambo ya ufuaji umeme, ufuaji umeme kwa makaa ya mawe, upepo na hali nzuri ya maji ktk mitambo ya uzalishaji kwa kutumia maji bei ya umeme itapungua??????? Na madeni ya TANESCO yatakwisha??
 
naaamini bila bitandao ya kijamii kama huu JF muda sio mrefu tungefanya au tungekwisha fanya mapinduzi sema wananchi sisi hasora zetu zinaisha baada ya kutoa dukuduku zetu humu ndani
 
afrika ya kusini hata ziwa hawana lakini umema kwa mwaka hukatika dakiaka 15 mpaka 20 sisi tuna kila kitu lakini majanga tupu hebu angalia ukibadilisha matumizi ya nguzo za umeme tu ukapitia chini kama gas utaokoa zaid ya bilion garama ya kusambaza lkn wasivyo na mawazo mazuri wanawaza kupandisha umeme tu basi na hawataki mawazo ya maana kwa kuwa ni miradi yao ndio mana mungu hawabariki maana ni majambazi mawazo ya maana ya kupunguza garama ya umeme hawataki lakini kupandisha umeme ni vikao kika siku.yani bila naombi hatutoki.
 
Back
Top Bottom