January 01/01/2026 tunatoka!

January 01/01/2026 tunatoka!

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
9,283
Reaction score
13,712
Shalom Makamanda
Nimepata taarifa kutoka control centre ya Gen Z ni kwamba January mosi tunatoka makamanda tutoke kwa wingi.

#SamiaMustGo😂😂😂
 
Unajisikiaje kuwa mtu mzima, halafu unaleta mada za kitoto, huku ukijichekesha hovyo as if kuna mahali unataka kukunwa! Nadhani unatakiwa kukua pia kiakili, badala ya mwili tu.
Shalom Makamanda
Nimepata taarifa kutoka control centre ya Gen Z ni kwamba January mosi tunatoka makamanda tutoke kwa wingi.

#SamiaMustGo😂😂😂
 
Unajisikiaje kuwa mtu mzima, halafu unaleta mada za kitoto, huku ukijichekesha hovyo as if kuna mahali unataka kukunwa! Nadhani unatakiwa kukua pia kiakili, badala ya mwili tu.
Kamanda shida iko wapi?
 
Shalom Makamanda
Nimepata taarifa kutoka control centre ya Gen Z ni kwamba January mosi tunatoka makamanda tutoke kwa wingi.

#SamiaMustGo😂😂😂
Huko barabarani huwa hatuwaoni, kumbuka kuna wale mliwatia hasara mali zao wana hamu sana na nyinyi siku mtakayotoka wataanza kuwashughulikia kabla hata polisi hawajafika.
 
Nyie pimbi mnachafua taswira ya JF

Mnaleta mada za kingese humu kila muda mapimbi nyie!
 
Back
Top Bottom