KIDOLEGUMBA
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 498
- 110
Habari wadau! Kwa kiasi kikubwa kuanzia mwaka 2000 na kuendelea ajira imekuwa ngumu sana kupatikana kiasi kwamba kipindi cha mwaka 2012 kutokana na idadi kubwa ya wahitimu wa kutoka vyuoni ,imefikia hatua ya kazi zinazotoka walianza kuhitaji watu wenye 'upper second class na first class' , kuanzia 2013 iyo ya top classes inaendelea + masters:
-Maswali yanakuja tuliobaki na lower second class na pass zetu ndo wasindikizaji tu?
-Kwa nini wasiseme tu wanahitaji degree fulani alafu kama ni kuchuja kwa mitihani au ndani ya interview kieleweke mtu umechemsha?
-Maswali yanakuja tuliobaki na lower second class na pass zetu ndo wasindikizaji tu?
-Kwa nini wasiseme tu wanahitaji degree fulani alafu kama ni kuchuja kwa mitihani au ndani ya interview kieleweke mtu umechemsha?