Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 5,153
- 14,491
Yaani mpaka sasa hamuwezi kutoa updates za kura za maoni za wajumbe wa CCM? Nini shida Roving Journalist yupo kubwabwaja tu. Mjitafakari kwa kweli.
Watu tunakutegemea wewe mkuu yaani Siku ukiwa busy tunakosa habari kabisaYaani mpaka sasa hamuwezi kutoa updates za kura za maoni za wajumbe wa CCM? Nini shida Roving Journalist yupo kubwabwaja tu. Mjitafakari kwa kweli.
pole sana baba levoWatu tunakutegemea wewe mkuu yaani Siku ukiwa busy tunakosa habari kabisa
Hamna mkuu hili jambo linaumiza Sanapole sana baba levo
usipanic wala usifanye maamuzi magumu ya kujitoa uhai kisa umeshindwa kupenya.
Jf sio platform ya ccm. Kama una matokeo yaweke hapa kimpango wako. Ama unadhani ccm ni chama cha maana sana hadi kila social media iwajabike kutangaza habari zake?Yaani mpaka sasa hamuwezi kutoa updates za kura za maoni za wajumbe wa CCM? Nini shida Roving Journalist yupo kubwabwaja tu. Mjitafakari kwa kweli.
Mkuu umeongea jambo kubwa sana, asipoelewa na hapa tunamla kichwa kama wajumbeJF ni platform tu.
Waandishi ni wewe na mimi, wao JF hawahusiki na maudhui yaliyomu humu.
Ndio maana hawafungiwi kwa kutokuwa na leseni ya uandishi wa habari na TCRA.
Wao hawaandiki wao wanakuwezesha wewe kuandika.
Mmmmmmhhh! Hivi inawezekana kuwa kweli eti? Ngoja niunganishe dotspole sana baba levo
usipanic wala usifanye maamuzi magumu ya kujitoa uhai kisa umeshindwa kupenya.
Mkuu huu uwanda wa JF ni uwanda wa wanahabari jamii huru-Citizen Journalists.Yaani mpaka sasa hamuwezi kutoa updates za kura za maoni za wajumbe wa CCM? Nini shida Roving Journalist yupo kubwabwaja tu. Mjitafakari kwa kweli.
Wanafuta sasa nataka waweke yaoMkuu huu uwanda wa JF ni uwanda wa wanahabari jamii huru-Citizen Journalists.
Hata wewe unaweza bandika matokeo, kama unayo, usisubiri kupewa.
Swali fikirishi: Kwa Baba Levo kutemwa, Hii inamrahizishia Zitto dhidi ya mgombea CCM aliyeongoza kura za maoni? Je, Zitto angefurahi kupambana na Baba Levo au huyo mwingine?mbona tayari
kubwa ni hii baba levo is out 😂