Unaona sawa kabisa Abubakar kuacha mambo ya msiba wa mtume na kuwa busy na uongozi ? hivi nyie hamna akili , vip haki za wale waliokuwa kwenye msiba juu ya kuchagua kiongozi zimezingatiwa vip ? Yaan mtume ata kuzikwa bado watu huku wanatifuana kugombea madaraka inashangaza sana
Unaelewa maana ya kubashiriwa pepo?Ubashiri unakwenda kwa nyakati , wakati unafanya mema utabashiriwa mema , ukifanya uovu ubashiri unaondoka wenyewe unakuwa mtu wa motoni , OMAR kwa kitendo cha kumpinga mtume akiwa katika maumivu ya maradhi huu ni upingaji wa maandiko , maana kumpinga mtume ni kosa , Omar ni mkosaji inafikia mahali mpaka mtume anawafukuza watoke maana haijulikani nani mtume na nani wakusikilizwa
Unaachaje kushughulika na msiba kisa madaraka ? Tangu lini madaraka yakawa muhimu kuliko msiba wa mtume ? Abubakar na Omari ni watu waliojaa tamaa za madaraka na walimtumia mtume kwa maslahi yao binafsi , ndio maana walionyesha rangi zao halisi ata kabla mtume ajafukiwaKijana jambo la dini hujadiliwa kwa dini, usilete dhana na makisio ya kifalsafa, nilikuuliza hivi, tuambie kwa mujibu wa Uislamu ya kuwa kuzika ni jambo la lazima kwa watu wote au wachache wakifanya hutosheleza wengine?
Pili, uko wapi na ile hadithi ya mtume inayotaja mambo matatu ambayo hupaswa kuwahishwa ?
Tatu, lini katika uislamu Uislamu kiongozi alichaguliwa na watu wote ? Acha ujinga kijana, hakuna Demokrasia katika Uislam bali kuna shura kisha hufata kiapo cha utii.
Mashia mna mambo sana aisee.
Wapi wanamkiri ALLAH na mtume ? Njoo mtaani nikuonyeshe Mashia wanavyomkiri ALLAH na Mtume , maana unataka mpaka uwaone wewe , Njoo kuna msikiti wanaswali hapa wanamtaja ALLAH na mtume wake kila siku au unataka nikurekodie ? Mashia ni waislamu hili huna ubavu wa kulipinga
Alibashiriwa pepo nyakati gani ?Unaelewa maana ya kubashiriwa pepo?
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Nimekwambia Mashia wanamkiri ALLAH kila siku na mtume wake , kama unabisha pita msikiti wowote wa Mashia kama Atajwi ALLAH na mtume wake , mbona unabisha ujinga wewe, hivo vitabu utaendelea kuvitaja lakini nukuu hauletiNacheka sana bwana mdogo, unaleta habari za vijiweni katika mambo ya kielimu ?
Mashia tunaishi nao kijana, hili nilikwambia na nina wajua vizuri mno, ndio maana nataka utuonyeshe ? Sasa nakusaidia kijana kulingana na itikadi za kishia na ziada ya imani yao juu ya Taqiyah, kwa hoja utaweza kuthibitisha ya kuwa kweli wana mkiri Allah na mtume hali ya kuwa wana Taqiyyah na walivyomuelezea mtume kwa ubaya na Allah kwa ubaya. Tafuta kitabu kiitwacho "Nahju Khumayniy" usome maneno ya Khomein.
Unanilazimisha mimi kuwa SHIA ? umesema mwenyewe ni rahisi nashangaa badala ya kuleta hiyo nukuu unaanza kunilaumu mimi pamoja na kujipa kazi ya kupiga ramli kujua mimi ni Shia ahahahaaaha
Nukuu umeleta au unaendelea kubwabwaja , nani umtie adabu acha kujitekenya na kucheka mwenyewe wewe, halafu bado unanilazimisha mimi kuwa SHIA ahahahaahahaUrahisi wa jambo hili kwangu uko pale pale, ila nakutia adabu kwa tabia yako ya kukimbia maswali na kurukia nukta mpya, kabla ya mwanzo haijaisha. Sasa huu ujinga unao na tunaukomesha sasa, aidha ukiri hujui au utuwekee ushahidi.
Nasisitiza hivi kwa dhana ya uhakika kabisa wewe ni SHIA.
Nimekwambia Mashia wanamkiri ALLAH kila siku na mtume wake , kama unabisha pita msikiti wowote wa Mashia kama Atajwi ALLAH na mtume wake , mbona unabisha ujinga wewe, hivo vitabu utaendelea kuvitaja lakini nukuu hauleti
Nukuu umeleta au unaendelea kubwabwaja , nani umtie adabu acha kujitekenya na kucheka mwenyewe wewe, halafu bado unanilazimisha mimi kuwa SHIA ahahahaahaha
Khomein amesema kweli kama watu wanashindwa kushughulika na msiba kisa madaraka , kama Aya zingemtaja Ali juu ya kuwa kiongozi unafikir wahuni hawa wangeziamini ? unashangaa kitu gani wakati ata mtume alipotaka kuandika final wish Omar na genge lake walimkatalia mbona jambo liko waziWewe dogo unafaa kupigwa makofi kabisa. Nikisema unionyeshe wapi wana mkiri Allah na mtume ujua namaanisha.
Anasema Khomein maneno haya :
Mtume Muhammad kuna ayah alizificha
"Hakika Mtume alisita kuzitaja (ayah) zinazohusu Uimamu (wa Aliyy) kwenye Qur'an. Kwa kuchelea kwake Qur'an kutiwa mikono baada ya kuondoka kwake, au kuingia migogoro baina ya Waislamu, na hilo likawa limeathiri Uislamu." ( Kashf al Asraar : 149 )
Umeleta maelezo umetafasiri unavyotaka wewe ,umeandika reference kihuni halafu unataka tuamini ujinga huuBado una deni kijana la kunithibitishia ya kuwa Mashia wana mkiri Allah na mtume.
Nakuwekea nukuu :
SHIA AKILI ZENU ZIPO WAPI??
Vinaandika vitabu vyenu kuwa:
"Kila atakayejinasibu kwa Maimamu (wa shia), basi huyo atasamehewa hatakama atamuasi Allāh 'Azza wajalla!!
Na atakayewapenda (Maswahaba) ataingia motoni hatakama atakuwa anamuabudu Allāh 'Azza wajalla!
Je, Maimamu wenu ni bora kuliko Mtume wa Allāh!!? (al Hiwaar "Bi Taswrif" )
Kijana unatakiwa usome huu ujinga unao ukazania utaendelea kuwa kituko siku zote.
Unafikiri kumkiri Allah na mtume ni maneno tu.
Umetaka nukuu kijana nimekuwekea, hilo huna ushahidi nalo, sababu hakuna anae jua ghaibu, ila nyinyi Mashia maimamu wenu wanajua Ghaibu,ushia ni Ukafiri.Khomein amesema kweli kama watu wanashindwa kushughulika na msiba kisa madaraka , kama Aya zingemtaja Ali juu ya kuwa kiongozi unafikir wahuni hawa wangeziamini ? unashangaa kitu gani wakati ata mtume alipotaka kuandika final wish Omar na genge lake walimkatalia mbona jambo liko wazi
Umeleta maelezo umetafasiri unavyotaka wewe ,umeandika reference kihuni halafu unataka tuamini ujinga huu
Kabla hajaondoka kwenye ulimwengu huuAlibashiriwa pepo nyakati gani ?
Hii nukuu Khomeini inahusika vip na kumkiri ALLAH na mtume wake ? au uokoteza ili mradiUmetaka nukuu kijana nimekuwekea, hilo huna ushahidi nalo, sababu hakuna anae jua ghaibu, ila nyinyi Mashia maimamu wenu wanajua Ghaibu,ushia ni Ukafiri.
Hawa ndio maswahaba ambao Allah amewaridhia, ila nyinyi makafiri mnawatukana.
Anasema Allah aliye juu :
18. Kwa hakika Mwenyezi Mungu amewapa radhi Waumini walipo fungamana nawe chini ya mti, na alijua yaliyomo nyoyoni mwao. Basi akateremsha utulivu juu yao, na akawalipa kwa Ushindi wa karibu. (al Fat'h :18 )
Unafikiri katika hiyo aya wametajwa maimamu wenu ?
Umetoa nukuu ambayo references yake umeandika kihuni , andika references sahihi ili tukuletee hiyo nukuu, sio unaleta janja janja hapaBila shaka hicho kitabu unacho, naomba uniwekee wewe marejeo sahihi kama yalivyoandikwa katika hicho kitabu.
Kijana, unatakiwa ukasome tena aisee. Hapa utaumia na milango nimefunga.
Hii nukuu Khomeini inahusika vip na kumkiri ALLAH na mtume wake ? au uokoteza ili mradi
Alipobashiriwa pepo matendo yalisimama au alikuwa anaendelea kutenda ?Kabla hajaondoka kwenye ulimwengu huu
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Alijua kwa matendo ya maswahaba , kama mtu anaweza kumkatalia mtume asiandike final wish kwa ajili ya Umma usipotee , inakuaje kama ataona Aya Ali kapewa mamlaka ? tena mtume kamsaidia sana Ali kwa tamaa za Akina Omari wangemuua kama wangeona hizo Aya , mtu kamdindia mtume itakuwa Ali , ebu tumia akili yako vizuriDogo uwe unasoma kisha uwe unaelewa, kumkiri mtume katika kila kitu, na ule ni Wahayi, sasa Khomein anaposema mtume alificha aya yeye Khomein alijuaje ? Hapo amemtuhumu mtume na amemfanya mtume kama amefanya khiyana, jambo ambaloni kinyume na Uislamu.
Kijana unanipotezea muda aisee, huna lolote unalolijua katika hii mada.