Jamhuri iheshimiwe

"Kujaribu kuishika Jamhuri kidevu na kuitekenya kwapani ni kama kumvisha jogoo soksi na kutegemea acheze ballet, utavunja heshima, na upate aibuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚." β€” Alloyce, P.R.
Jamhuri ipi? Hii inayouza Bandar zake kwa warabu?
Hii Jamhuri iliyoshindwa hata kusimamia DART?
HII Jamhuri ambayo viongozi wake wanaingia madarakani kwa WIZI WA KURA?
Kwamba ukishakuwa raisi unakuwa na PhD hata kama ulikimbiq shule kama samia???
 
"Kujaribu kuishika Jamhuri kidevu na kuitekenya kwapani ni kama kumvisha jogoo soksi na kutegemea acheze ballet, utavunja heshima, na upate aibuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚." β€” Alloyce, P.R.
Hakuna rais duaniani aliyeshindana na kanisa na akashinda. Ni suala la muda tu, Samia ataishia mwisho mbaya sana sana. Kitendo cha kutuma watu kulawiti watu huku wakisema ''asante Samia'' ni ushetani ambao Mungu hataachia ipite hivi hivi.
 
"Kujaribu kuishika Jamhuri kidevu na kuitekenya kwapani ni kama kumvisha jogoo soksi na kutegemea acheze ballet, utavunja heshima, na upate aibuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚." β€” Alloyce, P.R.
Sisi hatuna jamhuri tuna kituko,so lazma tupambane kukabili kituko hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…