seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Akizungumza na waandishi wa habari James Mbatia amesema Freeman Mbowe sio gaidi bali magaidi ni polisi wanaochochea chuki kwa wananchi
James Mbatia amesisitiza Kitendo cha Polisi kuingilia na kuvamia mikutano ya ndani ya siasa ni vitendo vya kigaidi kwani wamewasababishia chama hasara Kubwa sana ya kuaanda mkutano
James Mbatia amesisitiza IGP Simon Sirro na kamanda wa kanda maalum Dar es Salaam hawapokei simu bali wanatumia tozo za miamala vibaya kwa kuvunja katiba na sheria za nchi
Mbatia anasisitiza kuwa Jeshi la polisi linatumika Kueneza Chuki na kukandamiza Raia, Hivyo Jeshi la polisi ndio magaidi namba moja Tanzania
James Mbatia anasema Polisi wanatumika Kueneza Chuki na ugaidi nchini huku wakitumia magari na vitendea kazi vya kodi ya wananchi
James Mbatia amesisitiza Kitendo cha Polisi kuingilia na kuvamia mikutano ya ndani ya siasa ni vitendo vya kigaidi kwani wamewasababishia chama hasara Kubwa sana ya kuaanda mkutano
James Mbatia amesisitiza IGP Simon Sirro na kamanda wa kanda maalum Dar es Salaam hawapokei simu bali wanatumia tozo za miamala vibaya kwa kuvunja katiba na sheria za nchi
Mbatia anasisitiza kuwa Jeshi la polisi linatumika Kueneza Chuki na kukandamiza Raia, Hivyo Jeshi la polisi ndio magaidi namba moja Tanzania
James Mbatia anasema Polisi wanatumika Kueneza Chuki na ugaidi nchini huku wakitumia magari na vitendea kazi vya kodi ya wananchi