Forbes1990
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 513
- 989
Huo ugonjwa unawakata wachina Kama vifo vya kuku .... Una kila sifa Kama ebola ... Home kali, kichwa kuuma kama kupasuka , joto kuwa juu ... Mpaka bleeding ... Ingien kwenye social networks za china muone watu wanavyokufa wakiwa wanatembea barabarani kwa huo ugonjwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app