Inategemea na aina ya dawa, kama ni dawa ya minyoo ni kabla ya kula inafaa zaidi kama dawa ana nguvu nyingi inashauriwa uinywe baada ya kula. Labda ungefafanua ni dawa ya aina gani unayoizungumzia.
Dawa nnayoongelea ni hizi za typhoid(ciplo) pamoja na za kifua(bromoxil) kuna ya maji pia kwajili ya kikohozi wanaita mkojo wa punda(M.E.S) na je kuna uwezekano wowote wa kujumuisha dawa kama dawa na muda muafaka wa kunywa kat ya kabla/baada ya kula!
Inategemea na aina ya dawa, kama ni dawa ya minyoo ni kabla ya kula inafaa zaidi kama dawa ana nguvu nyingi inashauriwa uinywe baada ya kula. Labda ungefafanua ni dawa ya aina gani unayoizungumzia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.