Jamani yamenisìnda

tizo1

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
856
145
Jamani pc yangu imekufa inaìtaj Window XP Professional CD ROM.inauzwa wapi jaman?Pia ni bei gani?mwenye nayo anijuze.za ku kopy zimegoma kabisa
 
Tijfunze kutrobleshoot probem.

Mpaka hapo unapotea maelezo huelewki tatizo la laptop yako ni ni hasa.

So faya njia inaitwa troubleshoting by isolation ili uondoea hisia ya chanzo halisi cha matatizo ya laptop yako.

Maana kwa maelezo yako haraka haraka naona unataja matatizo haya
- PC imekufa? imekufa nini?? HDD, CD ROM ,etc its only by isolatin ndo utajua tatizo halisi
- Kukopy zimegoma. Zimegomaje?

Otheriwise tafuta mtaalam akuchekie lakini naona tatizo ulilonalo ni kwamba hujajuta tataizo halisi linasombua PC yako na unashindwa kuelezea vizuri.
 
wala hamna kitu kama hicho kuwa cd za kukopi zimegoma mpya itakubali. sahau sahau sahau!!!!!!
kwani cd za kukopi kama hazijachunika ni sawa na cd ya original.
na cd ya original iliyochunika ni mbaya kuliko ya kukopi ambayo haijachunika.
kama inagoma maana yake either cd unayotumia haijakopika vyema au mlango wako wa cd (cd rom drive) ndio wenye matatizo
 
Back
Top Bottom