Tijfunze kutrobleshoot probem.
Mpaka hapo unapotea maelezo huelewki tatizo la laptop yako ni ni hasa.
So faya njia inaitwa troubleshoting by isolation ili uondoea hisia ya chanzo halisi cha matatizo ya laptop yako.
Maana kwa maelezo yako haraka haraka naona unataja matatizo haya
- PC imekufa? imekufa nini?? HDD, CD ROM ,etc its only by isolatin ndo utajua tatizo halisi
- Kukopy zimegoma. Zimegomaje?
Otheriwise tafuta mtaalam akuchekie lakini naona tatizo ulilonalo ni kwamba hujajuta tataizo halisi linasombua PC yako na unashindwa kuelezea vizuri.