witacha matiku
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 679
- 126
NPM
Wewe mpenzi?Mimi mume wangu atabakia kuwa JF milele!Mpenzi wangu ataendelea kuwa JF,i can't stop laughing!!
Teh!teh!teh!!Wewe mpenzi?Mimi mume wangu atabakia kuwa JF milele!
I love JF...
Jamaa kanivunja mbavu sana...
Mkuu maeneo gani nije nipige hiyo mishe?Kuna kazi ya kuzibua choo hapa kwangu,ukiwa tayari kuifanya niPM!
hahahahahaha Mali itakuwa kuna mtego wake kaweka ndio maana hajaita mtu hapa..Whaaaat?Hivi ni kweli MALCOM LUMUMBA?
Labda kuna kitu unatafuta aiseee,sitaki kuamini.
cc FisadiKuu njoo unisaidie kushangaa.
Ombi kama hili huwa linatakiwa liambatane na ujuzi, uzoefu na kiwango cha elimu ulichonacho...Jamani wenzangu naomba mnisaidie kazi mwenzenu.
Maisha yanakuwa magumu hapa mjini kila kukicha.
Mimi ni kijana wa miaka 24 natokea Kagera.
Naomba msaada wa kazi yoyote ile ya kunisogeza mbele kimaisha.
Bora umeona hilo, hii thread nilikuwa naiona tu leo nikaamua kuicheki...hahahahahaha Mali itakuwa kuna mtego wake kaweka ndio maana hajaita mtu hapa..
hahahahaha Malii Wassuuuuuuuuuuuup Manigga..
Whaaaat?Hivi ni kweli MALCOM LUMUMBA?
Labda kuna kitu unatafuta aiseee,sitaki kuamini.
cc FisadiKuu njoo unisaidie kushangaa.
Nifah mimi si nimeomba kazi tu jamani??
Aya fanya fasta njoo uninong'onezee...Bora umeona hilo, hii thread nilikuwa naiona tu leo nikaamua kuicheki...
I was like "WTF"?
Ngoja nitakunong'oneza kitu .
Nipo mkuu... Naona kumepoa humu sikuhiziBeen good bruv!
Long time, sikusomi mazee!!!