Jamani Wasukuma nisaidieni kutafsiri hayo maneno

Joel360

JF-Expert Member
Sep 21, 2013
981
631
Lekangishi ukwikala mutuhaya tulimbasha mangosha nimbule umbise tutamuyomba ishitwa shimo mbangosha

Moye mbangosha ukuimilela makabila kila siku yambizile masukum nduhu ambakuhoyelwa umu ulutinamayo kwahgana umu walala nduhu
 
Lekangishi ukwikala mutuhaya tulimbasha mangosha nimbule umbise tutamuyomba ishitwa shimo mbangosha

Moye mbangosha ukuimilela makabila kila siku yambizile masukum nduhu ambakuhoyelwa umu ulutinamayo kwahgana umu walala nduhu
Umeandika kwa kuchapia mno, inachanganya ssana
 
Anasema "acheni kutusema wasukuma washamba, kila mara mnatutania sie washamba kwani hakuna makabila mengine, mbona sisi hatuwaambii ushamba?"
Asante sana ndugu yangu.

Umenitoa kwenye lindi la ujinga. Niliweka status tu ya utani kuwa "msukuma akila wali lazima atapike, keshazoea ugali, ndo nimejibiwa hivyo."
 
Lekagishi babehi, lekagishi mamihayo ga nya chilochilo.

Omanile o ntemi wise olo nose banamhala bange tutantogwile.

Aleyo, obise tutantogwile, ahene tokobiza kwetewa mamihayo kongono ya ntemi wise.

Hagayaaaa!
 
Back
Top Bottom