kwa maelezo yako kweli anahitaji msaada,maana kashafanya kazi miaka miwili.mimi nina ushahidi wa wadada wawili,mmoja aliajiriwa akiwa mjamzito mimba ilikuwa changa,docta akamwandikia hana,so alikaa kazini,na mwingine aliandikiwa pregnant positive so ilibidi arudi home mpaka ajifungue cs tayar walishamwajiri.wote hao wawili walikuwa na haki cs walishawaajiri otherwise wangeangalia kwenye intervw wakigundua wana mimba wasiwachague.so kwa kesi ya huyo dada,ana haki,seda imlipe,otherwise iwe kwenye sheria zao ambayo dada hakuiona ktk mkataba maana wengi huwa ofa hawasomi