Jamani tuchakachue hii pesa

drphone

JF-Expert Member
Sep 29, 2009
3,542
281
wakuu heshima mbele
naomba nieleze kwa kifupi kuna viongozi wamechakachua eneo la wazi lililotolewa kwa ajili ya shughuli za kijamii ni eneo la heka mbili walichofanya wakajenga kiofisi cha ccm baada ya hopo wakaanza kukata vipande na kuuza kinyemela wananchi tulipo hoji wakasema eneo lililotolewa ni heka 1 na lilitolewa kwa jamii na ccm.
wale wenyeji walokuwepo wakati linatolewa wakatoa ukweli wakaonyesha mipaka halisi viongozi wa ccm walochakachua wakawa hoi ikabidi sisi tunaopinga huu ufisadi tukajipanga vzuri na huyu mwenyeji anayejua ambaye wakati hawa wachakachuaji hawakumshirikisha wakawa wanamfata ili wampoze alipotueleza tukapanga dili tukawarekodi na tukafanikiwa kupata data zote jinsi walivyouza kiasi walichouza na walikuwa nani na nani waligawana bei gani bila wao kujua na huyu mwenyeji mpiganaji akawaeleza kwamba ayupo peke yake so akatukutanisha nao mafisadi tukarekodi kila k2 ss wamemletea mpiganaji millioni moja kati ya 3 ambazo walitakiwa watupe wote na sisi kama mgao amezipokea azina maandishi wala ushaidi na sisi mpango wetu upo paleple tunahofia tukiwarudishia ss watastuka wengine wanasema tugawane na mahakamani tuwapeleke. je wakuu mnatushauri nini?
 
kumbe na wewe umo, ila uvumi kwa sababu hujapata EPA, ndugu yangu kwa milioni moja unataka kusaliti vizazi na vizaji, maana inafikia point hata sehemu ya watoto kuchezea hakuna
 
kumbe na wewe umo, ila uvumi kwa sababu hujapata EPA, ndugu yangu kwa milioni moja unataka kusaliti vizazi na vizaji, maana inafikia point hata sehemu ya watoto kuchezea hakuna

mkuu nitake radhi napinga ufisadi kwa nguvu zote na mm nimefanikisha zoezi lote la kuhamasisha mpaka kupata ushahidi
 
kumbe na wewe umo, ila uvumi kwa sababu hujapata EPA, ndugu yangu kwa milioni moja unataka kusaliti vizazi na vizaji, maana inafikia point hata sehemu ya watoto kuchezea hakuna
Ingekuwa vema kama ungesoma kwa makini na kumwelewa kabla ya kumshutumu. Anaomba ushauri ni namna gani waendelee mbele na suala hili. Anahofia maamuzi ya kukurupuka yanaweza kuwapa ushindi mafisadi. Lakini mpaka sasa wako vizuri (ikiwa nitaamini alichokisema, na ofcourse ninaamini). Heko Mpiganaji, wataalamu wa sheria tafadhali mpatieni mbinu.
 
Ingekuwa vema kama ungesoma kwa makini na kumwelewa kabla ya kumshutumu. Anaomba ushauri ni namna gani waendelee mbele na suala hili. Anahofia maamuzi ya kukurupuka yanaweza kuwapa ushindi mafisadi. Lakini mpaka sasa wako vizuri (ikiwa nitaamini alichokisema, na ofcourse ninaamini). Heko Mpiganaji, wataalamu wa sheria tafadhali mpatieni mbinu.

asante kwa kuelewa mana hapa watu wanakimbiliga kushutumu anacopy neno moja utafikiri wapo kwenye midahalo ya dini
 
wakuu heshima mbele
naomba nieleze kwa kifupi kuna viongozi wamechakachua eneo la wazi lililotolewa kwa ajili ya shughuli za kijamii ni eneo la heka mbili walichofanya wakajenga kiofisi cha ccm baada ya hopo wakaanza kukata vipande na kuuza kinyemela wananchi tulipo hoji wakasema eneo lililotolewa ni heka 1 na lilitolewa kwa jamii na ccm.
wale wenyeji walokuwepo wakati linatolewa wakatoa ukweli wakaonyesha mipaka halisi viongozi wa ccm walochakachua wakawa hoi ikabidi sisi tunaopinga huu ufisadi tukajipanga vzuri na huyu mwenyeji anayejua ambaye wakati hawa wachakachuaji hawakumshirikisha wakawa wanamfata ili wampoze alipotueleza tukapanga dili tukawarekodi na tukafanikiwa kupata data zote jinsi walivyouza kiasi walichouza na walikuwa nani na nani waligawana bei gani bila wao kujua na huyu mwenyeji mpiganaji akawaeleza kwamba ayupo peke yake so akatukutanisha nao mafisadi tukarekodi kila k2 ss wamemletea mpiganaji millioni moja kati ya 3 ambazo walitakiwa watupe wote na sisi kama mgao amezipokea azina maandishi wala ushaidi na sisi mpango wetu upo paleple tunahofia tukiwarudishia ss watastuka wengine wanasema tugawane na mahakamani tuwapeleke. je wakuu mnatushauri nini?

Weka data kamili bila chenga. ni wapi huko na ni kina nani?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom