drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
wakuu heshima mbele
naomba nieleze kwa kifupi kuna viongozi wamechakachua eneo la wazi lililotolewa kwa ajili ya shughuli za kijamii ni eneo la heka mbili walichofanya wakajenga kiofisi cha ccm baada ya hopo wakaanza kukata vipande na kuuza kinyemela wananchi tulipo hoji wakasema eneo lililotolewa ni heka 1 na lilitolewa kwa jamii na ccm.
wale wenyeji walokuwepo wakati linatolewa wakatoa ukweli wakaonyesha mipaka halisi viongozi wa ccm walochakachua wakawa hoi ikabidi sisi tunaopinga huu ufisadi tukajipanga vzuri na huyu mwenyeji anayejua ambaye wakati hawa wachakachuaji hawakumshirikisha wakawa wanamfata ili wampoze alipotueleza tukapanga dili tukawarekodi na tukafanikiwa kupata data zote jinsi walivyouza kiasi walichouza na walikuwa nani na nani waligawana bei gani bila wao kujua na huyu mwenyeji mpiganaji akawaeleza kwamba ayupo peke yake so akatukutanisha nao mafisadi tukarekodi kila k2 ss wamemletea mpiganaji millioni moja kati ya 3 ambazo walitakiwa watupe wote na sisi kama mgao amezipokea azina maandishi wala ushaidi na sisi mpango wetu upo paleple tunahofia tukiwarudishia ss watastuka wengine wanasema tugawane na mahakamani tuwapeleke. je wakuu mnatushauri nini?
naomba nieleze kwa kifupi kuna viongozi wamechakachua eneo la wazi lililotolewa kwa ajili ya shughuli za kijamii ni eneo la heka mbili walichofanya wakajenga kiofisi cha ccm baada ya hopo wakaanza kukata vipande na kuuza kinyemela wananchi tulipo hoji wakasema eneo lililotolewa ni heka 1 na lilitolewa kwa jamii na ccm.
wale wenyeji walokuwepo wakati linatolewa wakatoa ukweli wakaonyesha mipaka halisi viongozi wa ccm walochakachua wakawa hoi ikabidi sisi tunaopinga huu ufisadi tukajipanga vzuri na huyu mwenyeji anayejua ambaye wakati hawa wachakachuaji hawakumshirikisha wakawa wanamfata ili wampoze alipotueleza tukapanga dili tukawarekodi na tukafanikiwa kupata data zote jinsi walivyouza kiasi walichouza na walikuwa nani na nani waligawana bei gani bila wao kujua na huyu mwenyeji mpiganaji akawaeleza kwamba ayupo peke yake so akatukutanisha nao mafisadi tukarekodi kila k2 ss wamemletea mpiganaji millioni moja kati ya 3 ambazo walitakiwa watupe wote na sisi kama mgao amezipokea azina maandishi wala ushaidi na sisi mpango wetu upo paleple tunahofia tukiwarudishia ss watastuka wengine wanasema tugawane na mahakamani tuwapeleke. je wakuu mnatushauri nini?