Asango
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 234
- 24
naendelea kusikitishwa na kampuni ya startym ambayo inatupatia huduma,leo eneo linalotuzunguka limekata mawasiliano ukipiga customer care wanakuambia chukua remote weka kwenye siginal geuzia antena mlimani.unatumia antena ya aina gani! Hv jamani km huduma naipata kila siku leo unaniambia nigeuzie antena mlimani inakuweje,nikajaribu kumweleza sio tatizo langu peke yangu, hata wengine katika eneo hili wanatatizo hilo anakuwa mkali.kwa nini lakini hamjali wateja wenu?km kuna wenye tatizo km hili tufanyeje?