heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,774
- 8,724
Mwenye kujua suluhisho la kiungulia kama ni majivu na yalaga mpaka kero msaada maana haya ninayo yapata mateso.
Tumia omeprazole 20 mg od 14/7, epuka vyakula vyenye acid kama nyanya malimao vinegar nk.mwenye kujua suluhisho la kiungulia kama ni majivu na yalaga mpaka kero msaada maana haya ninayo yapata mateso
we demu au men?
mwenye kujua suluhisho la kiungulia kama ni majivu na yalaga mpaka kero msaada maana haya ninayo yapata mateso