Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Duh jf ni kiboko, kazi unayo aisee ushauri wa kutosha!!
Kama vip hama huo mtaa kbs
Kama vip hama huo mtaa kbs
Tena mahakimu wa siku hizi hawana huruma mkuu miaka 30 hiyoooo inanukia kama mchezo vile. Usiombe hakimu awe mwanamke mbona utaisomaaa
Hahahahahahahahahahaha huyu kachoka kuishi uraiani anataka kuishi ndani ya geti na kulala chini bila kusahau kula ugali wa buree. Hajui mujini hapa wanamlia taiming tu tego likikubali atawekewa achague kutoa 10m au kwenda jela. Chezea bongo weye kila kitu dili watu wakale wapi.Mkuu Ablessed huyu jamaa hajipendi, mtu anayejipenda hawezi kucheza na moto maana anajua utamuunguza. Na ukitoka huko miaka 30 huna mbele wala nyuma maisha yameshakutupa mkono sijui atakuwa mgeni wa nani. Yanabaki majuto tu ni mjukuu.
Ulijuaje anavaa chupi na kanga moja tu?
Kwani ni lazma umfundishe?
Hahahahahahahahahahaha huyu kachoka kuishi uraiani anataka kuishi ndani ya geti na kulala chini bila kusahau kula ugali wa buree. Hajui mujini hapa wanamlia taiming tu tego likikubali atawekewa achague kutoa 10m au kwenda jela. Chezea bongo weye kila kitu dili watu wakale wapi.
Hahahahahahaha lkn tuache masihara unajua wengine wanaombea wakaishi jela eti hakuna stress kwani hudaiwi kodi wala bill ya umeme na msosi buree. Haingii akilini eti anajua hadi binti kavaaje , je alijuaje kama amevaa hivyo alivyovaa na kachunguza hadi umbo la katoto hako hivi sio tego hilo kweli. Kisha kamemlazimisha akafundishe twisheniiiiii na sio tuition za mchana wao wako twisheniiiiii mmmh makubwa haya .Akishafikishwa lupango atadhani yumo katika ndoto mbaya akiamka asubuhi atagundua ni ndoto tu kumbe ndio ishatoka miaka 30 ya kula na kulala bureeeee.
Siku hizi hawaend jela kwakosa lakutembea na mwanafunzi labda umbake ila kwa hiyali yake sheria zimefutwa.
NB:Nisheria za somalia
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hahahahahahaha lkn tuache masihara unajua wengine wanaombea wakaishi jela eti hakuna stress kwani hudaiwi kodi wala bill ya umeme na msosi buree. Haingii akilini eti anajua hadi binti kavaaje , je alijuaje kama amevaa hivyo alivyovaa na kachunguza hadi umbo la katoto hako hivi sio tego hilo kweli. Kisha kamemlazimisha akafundishe twisheniiiiii na sio tuition za mchana wao wako twisheniiiiii mmmh makubwa haya .
katika nyumba niliyopanga kuna binti wa kike anasoma kidato cha tatu ananitia majaribuni anadai eti ananipenda tangia siku nyingi mm nikamkatalia nikamwambia yy bado mwanafunzi hivo some kwanza mapenzi baadae nikajua kanielewa but wiki hii kaja na gia ya kuomba nimfundishe nikamkubalia kumtichi tatizo lake anakuja nda kwangu usiku eti nimfundishe huku amevaa kanga moko na chu...pi tu ful mitego mtoto mwenyewe wa kinyakyusa ful hips.so nifanyeje kwan naona jela hii coz ni mwanafunzi
Mi nna mashaka wanataka kumtegea akiingia king tu wanambebesha kesi . Sasa ili atoke watampa choice either kutoa shekeli au kwenda jela na dau watamuwekea kubwa mbona atajibeba. Halafu mwaka ndio huo unaanza full stress za ada za shule . We mwache tu ....labda alishakachungulia au alikauliza mwache acheze na moto umuunguze ndio atajua tamu ya moto.
Mi nna mashaka wanataka kumtegea akiingia king tu wanambebesha kesi . Sasa ili atoke watampa choice either kutoa shekeli au kwenda jela na dau watamuwekea kubwa mbona atajibeba. Halafu mwaka ndio huo unaanza full stress za ada za shule . We mwache tu .
Wabena wanasema:::- we niangusage tu,sambi sako mwenyewe
mbona kwa post yako jinsi ilivyo ni kama unashabikia yakukute ili ukaonje maharage ya jela mkuukatika nyumba niliyopanga kuna binti wa kike anasoma kidato cha tatu ananitia majaribuni anadai eti ananipenda tangia siku nyingi mm nikamkatalia nikamwambia yy bado mwanafunzi hivo some kwanza mapenzi baadae nikajua kanielewa but wiki hii kaja na gia ya kuomba nimfundishe nikamkubalia kumtichi tatizo lake anakuja nda kwangu usiku eti nimfundishe huku amevaa kanga moko na chu...pi tu ful mitego mtoto mwenyewe wa kinyakyusa ful hips.so nifanyeje kwan naona jela hii coz ni mwanafunzi