Wadau kuna kampuni imenilipa fidia ya sh mil 30. Kulitokea nini na ilikuwaje mpk nikalipwa fidia hii? Nisingependa kuiongelea.
Ombi langu kwenu ni kwamba naombeni ushauri na uzoefu wenu wa kuiendeleza fedha hii ili nisije rudi tena kwenye umaskini wa kukosa milo 2 kwa siku.
Naomba kuwasilisha.
ANGALIZO: Tusileke mizaha na utani tafadhali.
Ombi langu kwenu ni kwamba naombeni ushauri na uzoefu wenu wa kuiendeleza fedha hii ili nisije rudi tena kwenye umaskini wa kukosa milo 2 kwa siku.
Naomba kuwasilisha.
ANGALIZO: Tusileke mizaha na utani tafadhali.