GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Juzi nimelalamika hapa kuhusu wakulima kukopwa mazao kwa lazima wakati
Fedha za kuwalipa zipo. Tushamueleza kuwa Mkuchika anayezuia watu kuuza
mazao yao cash wanashirikiana na kuna faida inaenda kwake.
Leo nina hasira sana kwani nimekula wali mkavu bila mboga, ninadai kule
kwenye chama cha ushirika Tsh 18,500,000.
Hivi nini hasa kifanyike ili kikwete achukue maamuzi na ajue kuwa anatutesa?
Hivi kwanini serikali inakopa kwa nguvu halafu haitoi malipo kwa RIBA wakati sisi
tukikopa kwenye taasisi zao ni lazima tulipe RIBA!
Jamani nisaidieni tumfanye nini huyu Kikwete maana hasikii kabisa vilio vya wanyonge!
Fedha za kuwalipa zipo. Tushamueleza kuwa Mkuchika anayezuia watu kuuza
mazao yao cash wanashirikiana na kuna faida inaenda kwake.
Leo nina hasira sana kwani nimekula wali mkavu bila mboga, ninadai kule
kwenye chama cha ushirika Tsh 18,500,000.
Hivi nini hasa kifanyike ili kikwete achukue maamuzi na ajue kuwa anatutesa?
Hivi kwanini serikali inakopa kwa nguvu halafu haitoi malipo kwa RIBA wakati sisi
tukikopa kwenye taasisi zao ni lazima tulipe RIBA!
Jamani nisaidieni tumfanye nini huyu Kikwete maana hasikii kabisa vilio vya wanyonge!