Jamani nifanye nini "KIKWETE HASIKII!"

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,277
6,673
Juzi nimelalamika hapa kuhusu wakulima kukopwa mazao kwa lazima wakati
Fedha za kuwalipa zipo. Tushamueleza kuwa Mkuchika anayezuia watu kuuza
mazao yao cash wanashirikiana na kuna faida inaenda kwake.

Leo nina hasira sana kwani nimekula wali mkavu bila mboga, ninadai kule
kwenye chama cha ushirika Tsh 18,500,000.

Hivi nini hasa kifanyike ili kikwete achukue maamuzi na ajue kuwa anatutesa?

Hivi kwanini serikali inakopa kwa nguvu halafu haitoi malipo kwa RIBA wakati sisi
tukikopa kwenye taasisi zao ni lazima tulipe RIBA!

Jamani nisaidieni tumfanye nini huyu Kikwete maana hasikii kabisa vilio vya wanyonge!
 
Juzi nimelalamika hapa kuhusu wakulima kukopwa mazao kwa lazima wakati
Fedha za kuwalipa zipo. Tushamueleza kuwa Mkuchika anayezuia watu kuuza
mazao yao cash wanashirikiana na kuna faida inaenda kwake
.

Leo nina hasira sana kwani nimekula wali mkavu bila mboga, ninadai kule
kwenye chama cha ushirika Tsh 18,500,000.

Hivi nini hasa kifanyike ili kikwete achukue maamuzi na ajue kuwa anatutesa?

Hivi kwanini serikali inakopa kwa nguvu halafu haitoi malipo kwa RIBA wakati sisi
tukikopa kwenye taasisi zao ni lazima tulipe RIBA!

Jamani nisaidieni tumfanye nini huyu Kikwete maana hasikii kabisa vilio vya wanyonge!

naomba ufafanue hapo kwenye rangi nyekundu. wapi,lini,na kwa jinsi gani ulimfikishia kikwete tuhuma hizo na akakupuuza? na ikiwezekana naomba utujuzu tuhuma hizo kwa kirefu ili na tujuuwe uwozo wa CCM kupitia Chiligati
 
naomba ufafanue hapo kwenye rangi nyekundu. wapi,lini,na kwa jinsi gani ulimfikishia kikwete tuhuma hizo na akakupuuza? na ikiwezekana naomba utujuzu tuhuma hizo kwa kirefu ili na tujuuwe uwozo wa CCM kupitia Chiligati

Ni hapa hapa jukwaani tena kwa ujumbe wa wazi ambao lazima watu wake wameuona
na kumfikishia. Hapo kwenye bluu sijamtaja huyo mtu mi namzungumzia waziri wa TAMISEMI
Ndugu - G. Mkuchika ambaye amekuwa mstari wa mbele kuzuia umoja wa wakulima ambao
wamejianzishia na kulazimisha mfumo ambao unatesa watu. Huyu mambo yake yamekuwa
ya ubabe ubabe tu - Si unakumbuka hata waandishi waligoma kutoa habari zake kwa miezi 3
mfululizo baada ya kuisimamisha MWANAHALISI?.
 
Juzi nimelalamika hapa kuhusu wakulima kukopwa mazao kwa lazima wakati
Fedha za kuwalipa zipo. Tushamueleza kuwa Mkuchika anayezuia watu kuuza
mazao yao cash wanashirikiana na kuna faida inaenda kwake.

Leo nina hasira sana kwani nimekula wali mkavu bila mboga, ninadai kule
kwenye chama cha ushirika Tsh 18,500,000.

Hivi nini hasa kifanyike ili kikwete achukue maamuzi na ajue kuwa anatutesa?

Hivi kwanini serikali inakopa kwa nguvu halafu haitoi malipo kwa RIBA wakati sisi
tukikopa kwenye taasisi zao ni lazima tulipe RIBA!

Jamani nisaidieni tumfanye nini huyu Kikwete maana hasikii kabisa vilio vya wanyonge!

pole mkuu GAZETI! Hata mimi najiuliza kifanyike nini, halafu utakuta watu wanakuja na kusema ati tuna rais msikivu...
 
pole mkuu GAZETI! Hata mimi najiuliza kifanyike nini, halafu utakuta watu wanakuja na kusema ati tuna rais msikivu...

Unajua mkuu sio kweli kwamba hawaoni malalamiko yetu humu wanaona sana
lakini wanapuuza. Unafikiri kwanini ZE UTAMU ilifungiwa? waliona.......... lakini haya
wanajifanya hawayaoni. Eti mwezi mmoja sasa umepita toka mtu akopwe mazao
yake........ Yaani naapa kwa Mungu wangu serikali ya kikwete ndo inanikalisha na
njaa bila sababu za msingi.
 
Mkuu nashukuru sana kwa msaada wako maana ni wewe peke yako
ndo naona unatupigania hapa jukwaani. Kweli tunaumia hata mimi ninadai
4,356,000 Umetimia mwezi mmoja na siku kumi sasa sijalipwa chochote
na hata wakileta hizo fedha wanaleta za watu watatu zinaisha halafu wanakaa
mwezi tena. Yaani ni hatari.
 
Mkuu nashukuru sana kwa msaada wako maana ni wewe peke yako
ndo naona unatupigania hapa jukwaani. Kweli tunaumia hata mimi ninadai
4,356,000 Umetimia mwezi mmoja na siku kumi sasa sijalipwa chochote
na hata wakileta hizo fedha wanaleta za watu watatu zinaisha halafu wanakaa
mwezi tena. Yaani ni hatari.

Mi naomba Mungu waangukiwe na lile jengo lao kule CHIMWAGA liwafunike
wote ili tuanze upya! Yaani nitafurahi hiyo siku.
 
Mi naomba Mungu waangukiwe na lile jengo lao kule CHIMWAGA liwafunike
wote ili tuanze upya! Yaani nitafurahi hiyo siku.
Duh, kaka Punguza hasira kwani we huna ndugu kule mpaka
unatamani Jengo liwafunike?
 
Mi naomba Mungu waangukiwe na lile jengo lao kule CHIMWAGA liwafunike
wote ili tuanze upya! Yaani nitafurahi hiyo siku.

Duh una balaa wewe mpaka umenitoa mafichoni, Mungu anasema samehe saba mara sabini usiombe dua mbaya kiasi hicho labda tuombe tu waondoke madarakani kwa amani.
 
Duh, kaka Punguza hasira kwani we huna ndugu kule mpaka
unatamani Jengo liwafunike?

Duh una balaa wewe mpaka umenitoa mafichoni, Mungu anasema samehe saba mara sabini usiombe dua mbaya kiasi hicho labda tuombe tu waondoke madarakani kwa amani.

Mi nimetumia kanuni za MUNGU we umesahau kuwa aliangamiza kizazi cha NUHU kilichokuwa
nje ya safina? Kama Mungu atawaangamiza wote kule CHIMWAGA tutaanza upya kwa furaha
kwani kitakuwa kizazi fresh.
 
Juzi nimelalamika hapa kuhusu wakulima kukopwa mazao kwa lazima wakati
Fedha za kuwalipa zipo. Tushamueleza kuwa Mkuchika anayezuia watu kuuza
mazao yao cash wanashirikiana na kuna faida inaenda kwake.

Leo nina hasira sana kwani nimekula wali mkavu bila mboga, ninadai kule
kwenye chama cha ushirika Tsh 18,500,000.

Hivi nini hasa kifanyike ili kikwete achukue maamuzi na ajue kuwa anatutesa?

Hivi kwanini serikali inakopa kwa nguvu halafu haitoi malipo kwa RIBA wakati sisi
tukikopa kwenye taasisi zao ni lazima tulipe RIBA!

Jamani nisaidieni tumfanye nini huyu Kikwete maana hasikii kabisa vilio vya wanyonge!

Our presidaa is a 'social problem', so mkuu u are not alone in your suffering, infact we are sailing together as a nation
 
Mi naomba Mungu waangukiwe na lile jengo lao kule CHIMWAGA liwafunike
wote ili tuanze upya! Yaani nitafurahi hiyo siku.

Jengo la CHIMWAGA, sasa hivi kuna lecture inaendelea kwa wanafunzi wa UDOM
kwani jengo hili kwa sasa ni la Chuo Kikuu cha Dodoma.
Mkuu unamaanisha liwaangukie hawa wanafunzi au?
 
Jengo la CHIMWAGA, sasa hivi kuna lecture inaendelea kwa wanafunzi wa UDOM
kwani jengo hili kwa sasa ni la Chuo Kikuu cha Dodoma.
Mkuu unamaanisha liwaangukie hawa wanafunzi au?
Dah poleni, mi nakusudia siku ya mkutano mkuu wa CCM maana
wote wanakusanyika hapo. kama siku hiyo kutakuwa na hao nafunzi
na mkutano unaendelea basi angalau liwafunike kule waliko wao tu wanafunzi
wakishaondoka ndo lianguke lote!
 
Dah poleni, mi nakusudia siku ya mkutano mkuu wa CCM maana
wote wanakusanyika hapo. kama siku hiyo kutakuwa na hao nafunzi
na mkutano unaendelea basi angalau liwafunike kule waliko wao tu wanafunzi
wakishaondoka ndo lianguke lote!

Siku hizi wanafanyia Kizota na kwingine.
Chimwaga hawafanyii tena.
 
Siku hizi wanafanyia Kizota na kwingine.
Chimwaga hawafanyii tena.
Ok nimekuelewa hukohuko KIZOTA ndo kuzuri maana wako peke yao
unajua siku nyingi sijafuatilia vikao vyao maana naona kuna mipashomipasho
badala ya kujadili maendeleo wao ni ushindi wa kishindo, wapinzani kwishaaa,
safari hii watakoma....... Muda mwingi ukitumiwa na Komba, ngoma, ngonjera n.k
 
mkulu hawezi kusikiliza malalamiko yenu kwa sasa kwa sababu yuko bize anajiandaa na uhamisho wake.
 
Back
Top Bottom