Jamani natafuta mke wangu kuoa.

Jamani natafuta mke wangu kuoa.

Wasomba

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2016
Posts
546
Reaction score
757
Natafuta mke wa kuoa. Akipatikana ndoa haraka.
Awe msomi kuanzia degree.
Kipato kinachijitosheleza.
Awe na upendo.

Umri kuanzia miaka 29
Mkristu au awe tayari kujadili dini. I'm

Umri wangu nini miaka 40
Elimu chuo kikuu.
Mwajiliwa.

N.b Nimepunguza Vigezo.
 
Taja assets unazomiliki mfano nyumba ,gari mbili na kabiashara afu utaona hzo pm kiasi cha kuwafanyia audition, ukileta bidhaa Sokoni jitahidi uinadi vema ilikuvutia wateja bro.
 
Taja assets unazomiliki mfano nyumba ,gari mbili na kabiashara afu utaona hzo pm kiasi cha kuwafanyia audition, ukileta bidhaa Sokoni jitahidi uinadi vema ilikuvutia wateja bro.
Nyumba ninayo. Gari Sina kwa sasa ila uwezo wa kununua ninao. Biashara siyo kubwa sana (ndogondogo) .
 
aisee....
kupata mke tuma neno atoto kwenda namba 1577 vigezo na masharti kuzingatiwa
 
40 years bado unatafuta mke mtandanoni mkuu? Ebu weka picha yako tukuone
 
Im under 29, halafu hapo muajiriwa kwa ajili gani? unataka kuniomba hela🙂🙂🙂🙂
Sitaki mtu tegemezi. Mama upo above 26 u can try to apply. Then Mtu kimuomba pesa mume wake au mke wake si kosa. Tena maneno mengine ni vyema mama tukauongea inbox. Asante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom