Jamani natafuta kiwanja.

Jamani natafuta kiwanja.

Joined
Oct 29, 2012
Posts
86
Reaction score
4
Kipesa changu ni milioni 1.5(bila kuzidi).

Natafuta kiwanja ndani ya wilaya ya TMK, DSM.

N.B. Kwa wanaoweka namba ya simu (public or privancy), wakiweka za tiGO nitawapigia punde tu baada ya kuweka.
 
Mkuu vile viwanja vyako vya Vikindu umemaliza? Au unataka town zaidi?
 
Back
Top Bottom