dad24
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 464
- 121
Habari wana MMU
.........
Kuna kitu kinanitatiza hata nashindwa kuelewa, naamini nitapata kitu kwenu, nimekuwa katika mapenzi muda mrefu kidogo lakini huyu mpenzi wangu ananitatiza najua katika mapenzi kuna kuotoelewana Fulani hutokea sasa ikitokea hivyo na kama mimi ndiyo mwenye makosa huwa naomba msamaha kwa mwenzangu lakini yeye huwa anatabia ya kunilinganisha na mpenzi wake wa zamani , kama kuna udhaifu nimeuonyesha kwake huwa anasema Yaani huna tofauti na mpenzi wangu wa zamani sasa huwa najiuliza kama unaniona sina utofauti kwa nini usitafute mwenye utofauti na huyo mpenz wako wa zamani? Akiona nimeuliza hivyo anaomba msamaha kwamba ulimi umeteleza lakini amekuwa akirudia mara kwa mara hiyo kauli mpaka nashindwa kumuelewa anachomaanisha .................
Kuna mpenzi wangu wa zamani huwa ananisumbua sana kwenye simu na kunitaka turudiane kwa madai kwamba amehangaika sana na ameona hawezi kuishi na mwanume mwingine zaidi yangu lakini nimekuwa namkatalia kuwa kwa sasa siwezi kurudiana naye licha ya kuwa na mpenzi mwingine lakini alikuwa na kiburi na jeuri, na huyu mpenzi wangu alipo niuliza baada ya kuona massage zake kwenye simu yangu nilimueleza ukweli mimi nilitegemea kuwa labda angechukuwa namba ya simu na kujaribu kumkanya kwamba aachane na mimi lakini matokeo yake ananiambia si umsamehe mtoto wa watu hawezi kuishi bila wewe Dah hapo huwa nachoka kwa kweli nashindwa kumuelewa kabisa na ni mtu mzima siyo mtoto eti mwnzoni nilifikiri anatania lakini amekuwa akinisistiza, jamani sijui wanawake wengine huwa hawajui ni kwa nini wapo kwenye mapenzi au? .. kwa sasa ana miaka 25 .Sasa sijui anamaanisha nini lakini nikimfokea kuhusu hiyo tabia anakuwa mpole na anomba msamaha lakini haachi na msmshs anao omba umekuwa hauna maana sasa . Jamani naomba nisadieni kwa mawazo hapo jamani.... .
Natanguliza shukrani zangu na samahani kwa kuwachosha na stori ndefu lengo langu ni kupata mawazo kutoka kwenu Karibuni
Kuna kitu kinanitatiza hata nashindwa kuelewa, naamini nitapata kitu kwenu, nimekuwa katika mapenzi muda mrefu kidogo lakini huyu mpenzi wangu ananitatiza najua katika mapenzi kuna kuotoelewana Fulani hutokea sasa ikitokea hivyo na kama mimi ndiyo mwenye makosa huwa naomba msamaha kwa mwenzangu lakini yeye huwa anatabia ya kunilinganisha na mpenzi wake wa zamani , kama kuna udhaifu nimeuonyesha kwake huwa anasema Yaani huna tofauti na mpenzi wangu wa zamani sasa huwa najiuliza kama unaniona sina utofauti kwa nini usitafute mwenye utofauti na huyo mpenz wako wa zamani? Akiona nimeuliza hivyo anaomba msamaha kwamba ulimi umeteleza lakini amekuwa akirudia mara kwa mara hiyo kauli mpaka nashindwa kumuelewa anachomaanisha .................
Kuna mpenzi wangu wa zamani huwa ananisumbua sana kwenye simu na kunitaka turudiane kwa madai kwamba amehangaika sana na ameona hawezi kuishi na mwanume mwingine zaidi yangu lakini nimekuwa namkatalia kuwa kwa sasa siwezi kurudiana naye licha ya kuwa na mpenzi mwingine lakini alikuwa na kiburi na jeuri, na huyu mpenzi wangu alipo niuliza baada ya kuona massage zake kwenye simu yangu nilimueleza ukweli mimi nilitegemea kuwa labda angechukuwa namba ya simu na kujaribu kumkanya kwamba aachane na mimi lakini matokeo yake ananiambia si umsamehe mtoto wa watu hawezi kuishi bila wewe Dah hapo huwa nachoka kwa kweli nashindwa kumuelewa kabisa na ni mtu mzima siyo mtoto eti mwnzoni nilifikiri anatania lakini amekuwa akinisistiza, jamani sijui wanawake wengine huwa hawajui ni kwa nini wapo kwenye mapenzi au? .. kwa sasa ana miaka 25 .Sasa sijui anamaanisha nini lakini nikimfokea kuhusu hiyo tabia anakuwa mpole na anomba msamaha lakini haachi na msmshs anao omba umekuwa hauna maana sasa . Jamani naomba nisadieni kwa mawazo hapo jamani.... .
Natanguliza shukrani zangu na samahani kwa kuwachosha na stori ndefu lengo langu ni kupata mawazo kutoka kwenu Karibuni