hivi mwanamke ana pendelea nini hasa katika mahusiano..ili azidi kukupenda..na kuku hitaji?
Wanasema pesa but kuna wanawake hiyo siyo issue.
Mie mwenzenu napenda mtu anayenijali na asiyependa kuniumiza, rafiki na mwenye kujua mahabat... hapo ntampenda mie kuliko asali!
Sasa wengine wanadhani akishaacha hela home thats it... wanabakia kuchapiwa na shamba boy... ah tena hawa wana vitu origino usiombee.... kitu kimekomaa, kikavuuu lol!
hivi mwanamke ana pendelea nini hasa katika mahusiano..ili azidi kukupenda..na kuku hitaji?
mkuu una umri gani mpaka sasa?
wanawake wa sasa wameshakimbilia kwa wazee..
hebu subiri uzeeke kidogo labda utapendwa bila kupendwa!
otherwise vijana mwaambiwa ni wakorofi, hamna caring, mnavujisha siri na mna mikono ya birika...!
solution: kuwa na msimamo katika mapenzi, dont love to the extent of coming to hurt yourself!!
Asilimia kubwa ya wadada wa sasa wanataka Pesa na si kingine. Sisi ambao bado hatujapata pesa tunapata shida sana kumiliki hawa viumbe.
Nilikutana na mmoja TU, huyo hataki pesa, she has true love...unfortunately.........