kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,423
- 3,415
Mimi nina mwanamke nimezaa naye ila tulishindwa kuoana sababu ya roho yake, mean hapendi kuona namsadia mtu mwingine na akawa mtu wa kutaka kuniendesha.
Nikirudi job kelele ugomvi na majirani ugomvi hadi shule na walimu, tukashindwana, kilichoniuzi kabisa ilikuwa kila nikirudi job ugomvi na kauli kama bora gari likugonge ufie huko, nikaona huyu hapana kwa kweli, tulivyoachana mimi nikaja nikaumwa sana nikalazwa Muhimbili.
Alipokuja kuniona atokapo tu kuniona akiwa nje anatuma text bora ufe tu hapo na maneno mengine mabaya,sasa jana kaumwa yeye akanipigia simu kuwa yuko hoi na hana pesa nifanyeje?
Kama kumpa je ningekuwa nimededi kama alivyoombea angepewa na nani,nimpe nisimpe,dogo yuko boarding so hayuko home
Nikirudi job kelele ugomvi na majirani ugomvi hadi shule na walimu, tukashindwana, kilichoniuzi kabisa ilikuwa kila nikirudi job ugomvi na kauli kama bora gari likugonge ufie huko, nikaona huyu hapana kwa kweli, tulivyoachana mimi nikaja nikaumwa sana nikalazwa Muhimbili.
Alipokuja kuniona atokapo tu kuniona akiwa nje anatuma text bora ufe tu hapo na maneno mengine mabaya,sasa jana kaumwa yeye akanipigia simu kuwa yuko hoi na hana pesa nifanyeje?
Kama kumpa je ningekuwa nimededi kama alivyoombea angepewa na nani,nimpe nisimpe,dogo yuko boarding so hayuko home
