Coputer science ina nafasi nyingi tu za kazi, kumbuka kila ofisi inahitaji msomi wa computer, japo wasomi wakuwa wengi cku hizi, kinachojaliwa ni ujuzi wako binafsi. kama unaipenda na unasoma kwa moyo mmoja, hakutakuwa na tatizo kabisa. hata hivyo computer science inamruhusu mtu kujiajiri. so, komaa INATOA