Alfred88
Senior Member
- Jul 25, 2016
- 125
- 58
Nina mpenzi wangu ananizidi umri kama miaka 6 ivi, yeye anamafanikio mazuri tu ambayo yanaweza kumuingizia kipato. lakini mi ndo ivyo xina kazi yoyote, xaxa kila napompigia cm hapokei na hata akipokea ananambia anakazi (mchana) uxiku pia ananambia anackia ucngizi. Lakini nimekuwa nikivumilia mda wote huo hatonitafuta mpaka ntakapo mtafuta mm. Na mm bado nampenda xana tu, nimexhindwa nifanyaje pindi nilipomwambia alinifokea xana xaxa naokopa kumwambia tena xababu nahixi ntamuudhi. Naomben mnixaidie mawazo yenu jamani.