Deogratius marekani
Member
- Aug 10, 2016
- 38
- 4
je community development ina ajira kweli???? maana nimechaguliwa
Nadhani unamaanisha Idara ya Maendeleo ya Jamii (Department of Community Development)? na sio Ustawi wa Jamii (Department of Social Work), kutokana na hoja ya mleta uziIdara ya Ustawi wa jamii serikali ina mpango wa kuifuta haina faida yoyote kwa Taifa wanalipwa mshahara wa bure tu
duh OK i canKama unatarajia kuajiriwa baada ya kumaliza basi jua kabisa kwa kada hiyo wahitimu ni wengi sana mtaani kwahyo jiandae kisaikolojia rejea usemi huu "Struggle for the fittest"