Ninavyozijua ' akili ' za kushikiwa za Watanzania wengi nina uhakika kuwa wapo ' Mapopoma ' utakaowapata / utakaowakota katika hili. Baa gani utaenda ' Kuzitumbua ' ili niwahi ' Siti ' Mkuu kwani nina ' ukame ' wa Gambe / Pombe kwa muda kidogo sasa.
Ninavyozijua ' akili ' za kushikiwa za Watanzania wengi nina uhakika kuwa wapo ' Mapopoma ' utakaowapata / utakaowakota katika hili. Baa gani utaenda ' Kuzitumbua ' ili niwahi ' Siti ' Mkuu kwani nina ' ukame ' wa Gambe / Pombe kwa muda kidogo sasa.