Jamani na mimi nimejiunga

TAITUZA

Member
Joined
May 2, 2011
Posts
94
Reaction score
34
Napenda kujitambulisha kwenu wana jf leo hii, mimi ni mtanzania mwenzenu na nimevutiwa sana na michango mbalimbali ya kimtazamo inayopatikana ktk blogu hii. Nami nimejiunga.
Na nategemea kuchangia na kuchangiwa kimawazo ktk lolote mtakalowakilisha na nitakalowakilisjha,
tupo pamoja,
asanteni.
 
Karibu sana Mkuu, jisikie uko nyumbani kabisa. Hapo kwenye hiyo fridge nyuma yako kuna vinywaji mbali mbali vya kukata kiu vikiwemo coke, sprite, orange juice, passion juice, fanta, Mirinda, Pepsi na pia Togwa. Chagua unachokipenda ili upunguze kiu maana leo jua kali sana.

Karibu sana jamvini.
 
Karibu..karibu sana mgeni..vyumba vipo vingi ukitoka hapa sebuleni unaweza kuingia chumba kingine kileeee...kuna mtu mlangon pale atakupokea kwa juisi ya ukwaju na pilipili
 
Karibu Mkuu! Hatuna kinywaji leo hapa, unatumia kivutaji gani? Kuna kila utakachohitaji kuhusu uvutaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…