Jamani mwenzenu DSTV imenishinda

Huu uzi umefuta kabisa hamu yakutaka kua na hii kitu.vibanda umiza vinitarajie sana.
 
Hadi jana kilikuwa 22,000/= Ila nasikia kimefika 23,000/=
 
Kule hawashiki remote mkuu....anyway I was joking ila sio kwamba mtu akiwa ana DSTV hakai bar ila wakati mwingine kama kuna dharula au wakati mwingine game za usiku mwingi unakuta mtu unajipendelea lakini wengi wanalialia including mie ni kutokana na kuna raha nyingne ya DSTV ya unaweza ukaangalia game zingine kwa muda mwingine japo zinakuwa ni replay
 
hata zanzibar wanatumia sana cable tv nilimuuliza jamaa akasema kwa mwezi wanalipa 20 elfu na channel kama 80 na kuna channel za wamanga wanaonyesha mipira..hivi hapa Dar hamna cable tv kweli?
 
TCRA hili linawahusu.
wanahitajika kutoa bei elekezi kwa hawa vendors - kama wafanyavyo EWURA kwenye bei za petroli.
 
Mbona mitusi inamwagwa kwenye mitandao lkn hawafanyi lolote. Itakua dstv?
 

Dawa yao nafikiri iko njiani azam wakichukua epl tu kwisha habari yao
 
hata zanzibar wanatumia sana cable tv nilimuuliza jamaa akasema kwa mwezi wanalipa 20 elfu na channel kama 80 na kuna channel za wamanga wanaonyesha mipira..hivi hapa Dar hamna cable tv kweli?
Dar mitaa ya katikati ya mji nadhani, Cable Dar ni kama haijazoeleka kutokana na kulikuwa na TV nyingi zinapatikana free of air kabla ya kuja ving'amuzi lakini mikoani hasa kuanzia Singida kwenda Mwanza mpaka Bukoba huko Tv ilikuwa ni issue kukamatika na wengi walikuwa wananunua madish hivyo kwa mji mkubwa kama Mwanza watu wakatumia fursa wakawa wanasambaza cable yaani hata kabla ya hizi local Tv kuanza kurusha matokeo yake ikawa ndio wamezoea mpaka sasa kutokana na cable kutokuwa na mchelemchele
 
TCRA hili linawahusu.
wanahitajika kutoa bei elekezi kwa hawa vendors - kama wafanyavyo EWURA kwenye bei za petroli.

Walishawashindwa hao yaani muda mrefu kweli walikuwa wanalipisha kwa dolla kama cha premium ilikuwa dola 78 baadae wakapandisha 80 unaweza ukaandaa bajeti yako kama shilingi imezidi kudorola siku ambayo unaenda kulipa hapo inakula kwako unajikuta kuna nyongeza buku tano kutokana na bei ya dola siku hiyo
 

Saf mkuu ht iwe El Classico tunacheki Azam Tv
 
Kama ulipo internet connection ya simu iko vizuri unaweza kufanya live streaming ni rahisi zaidi!
 
Unalipa 219,000/= umeme wenyewe kwa kaya no way

tata Dstv
 
Umeme bado tatizo kubwa,internet conn speed na mafoleni kwa kweli Maisha bora kwa watanzania hayawezekani!
 
Khee cc ndo noma wki ya tatu umeme hakuna na dstv nsha sahau at a matumz yakee
 
Jamani wakuu naomba kuuliza kwann Clouds Tv haipo kwenye list???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…